Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

Hahaha
 
Waziri mkuu mtarajiwa anaendeleaje huko alipo sasa?
 
Yaani alishajiteua na kujipitisha bungeni kabla hata ya uchaguzi?
 
Duh sasa itakuwaje mwamba???!!! Ila sababu chama chako ulichokabidhiwa na baba mkwe, waweza kujichaguwa kama mbunge wa kuteuliwa au???!!!😉😎😰🤔🤫
 
Mwamba tuvusheee, mwamba tuvusheee, tuvushe mwambaaaa tuvusheeeee
Nye nye nye nye nye
Duh sasa itakuwaje mwamba???!!! Ila sababu chama chako ulichokabidhiwa na baba mkwe, waweza kujichaguwa kama mbunge wa kuteuliwa au???!!!😉[emoji41][emoji27][emoji848][emoji2958]
 
Sasa ametumia vipengele gani kuwa waziri mkuu, kutoka kuwa mlevi wa konyagi kuwa Waziri mkuu? Makubwa haya, ngoja tuone hizi bangi za kuvuta ukubwani zitawafikisha wapi?
Rais kakimbia kamwacha waziri mkuu! Chadema wachumba tuu.
 
Ni kama Mbowe tu ,unaangushwa na konyagi alafu unasingizia wasiojulikana, Lema na Nyalandu wamekimbizwa na madeni alafu wanasingizia wanataka kutekwa na Serikali.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…