Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

Ahaaa, Majaliwa kaachishwa kazi na Magufuli, mbona sasa Mbowe hana jimbo inakuwaje anapewa uwaziri mkuu wakati hata kuongoza chama chake kumemshinda?
 
Huo uwaziri mkuu Mbowe anauonea kwenye TV tu.
 
Rais yupo nje ya nchi uhamishoni,makamu wa Raise hv alikuwa nani vile?,waziri wa fedha yy kasepa na fedha zetu Kenya,Waziri Mkuu ndiyo kakomaaa,Waziri wa maliasili alirudishiwa mpakani nae ilikuwa asepe,duuuh.
 
Najua utalia sana, don't worry nitakuwa hapa kukupetipeti na kukufuta machozi
Utanipeti na mikono yenye kunuka damu na ulimi wa ulaghai?

It's a time to speak to em in a language they will understand.

SANCTIONS.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…