Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

Uchaguzi 2020 Mbowe: Ndani ya saa 72 nitakuwa Waziri Mkuu

Laana ya uongo na uzushi inatembea. Shetani hachoki . Mungu wetu anatupenda tuko salama dhidi yao.
Mungu ibariki Tanzania na Raisi wetu.
Unamsema yule aliyeingia kwa kura feki?
 
Tatizo Mbowe hakujua kutakuwa na mabegi meusi yaliyojazwa kura zilizopigiwa wagombea wa CCM, kuanzia urais, ubunge mpaka udiwani.
 
Back
Top Bottom