Mbowe ni kiongozi anayekumaliza kisiasa badala ya kukuinua, na hili linaathiri maendeleo ya Chadema," alisema Tundu Lissu leo, Alhamisi, Disemba 12,

Mbowe ni kiongozi anayekumaliza kisiasa badala ya kukuinua, na hili linaathiri maendeleo ya Chadema," alisema Tundu Lissu leo, Alhamisi, Disemba 12,

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Mbowe ni kiongozi anayekumaliza kisiasa badala ya kukuinua, na hili linaathiri maendeleo ya Chadema," alisema Tundu Lissu leo, Alhamisi, Disemba 12, 2024, wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Mlimani City.

Lissu alieleza kuwa Freeman Mbowe ameongoza chama kwa muda mrefu kwa mtindo unaodhoofisha vipaji na uwezo wa viongozi wengine ndani ya Chadema. "Chama hakipaswi kuwa jukwaa la mtu mmoja tu; kinapaswa kuwa jukwaa la kuendeleza viongozi wengi wenye uwezo wa kusimamia na kuendeleza mapambano ya demokrasia," alisema Lissu kwa msisitizo.

Akijibu maswali ya waandishi wa habari, Lissu aliongeza kuwa hali hii imefanya wanachama wengi wenye mawazo mbadala kuhisi kutengwa, hali ambayo inahatarisha mshikamano na mustakabali wa chama hicho kikuu cha upinzani. "Ni wakati wa kuacha siasa za mtu mmoja na kujenga chama imara kinachowakilisha sauti ya kila mwanachama," alihitimisha Lissu.
 

Attachments

  • IMG-20241212-WA0058.jpg
    IMG-20241212-WA0058.jpg
    132.7 KB · Views: 4
Mbowe ni kiongozi anayekumaliza kisiasa badala ya kukuinua, na hili linaathiri maendeleo ya Chadema," alisema Tundu Lissu leo, Alhamisi, Disemba 12, 2024, wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Mlimani City.

Lissu alieleza kuwa Freeman Mbowe ameongoza chama kwa muda mrefu kwa mtindo unaodhoofisha vipaji na uwezo wa viongozi wengine ndani ya Chadema. "Chama hakipaswi kuwa jukwaa la mtu mmoja tu; kinapaswa kuwa jukwaa la kuendeleza viongozi wengi wenye uwezo wa kusimamia na kuendeleza mapambano ya demokrasia," alisema Lissu kwa msisitizo.

Akijibu maswali ya waandishi wa habari, Lissu aliongeza kuwa hali hii imefanya wanachama wengi wenye mawazo mbadala kuhisi kutengwa, hali ambayo inahatarisha mshikamano na mustakabali wa chama hicho kikuu cha upinzani. "Ni wakati wa kuacha siasa za mtu mmoja na kujenga chama imara kinachowakilisha sauti ya kila mwanachama," alihitimisha Lissu.
LISU IS STUPID! A STUPID GUY!
 
UZUSHI ,.,. Unajisikiaje wee kua mwanaume na pengine unajiona umekamilika...ila unaamua kua mnafiki Kwa kuongea kitu ambacho Kiongozi fulan hajakisema?.

Hizo Siasa maji takaaaaa ulimwengun kote hazipo
 
Machawa kama machawa ,mmetumwa na nani?

Lissu hawezi ongea hayo,leta ushahidi hapa
 
Bwana mdg keshafika Bei tayari, Haina haja ya kujibizana nae
 
Mbowe ni kiongozi anayekumaliza kisiasa badala ya kukuinua, na hili linaathiri maendeleo ya Chadema," alisema Tundu Lissu leo, Alhamisi, Disemba 12, 2024, wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Mlimani City.

Lissu alieleza kuwa Freeman Mbowe ameongoza chama kwa muda mrefu kwa mtindo unaodhoofisha vipaji na uwezo wa viongozi wengine ndani ya Chadema. "Chama hakipaswi kuwa jukwaa la mtu mmoja tu; kinapaswa kuwa jukwaa la kuendeleza viongozi wengi wenye uwezo wa kusimamia na kuendeleza mapambano ya demokrasia," alisema Lissu kwa msisitizo.

Akijibu maswali ya waandishi wa habari, Lissu aliongeza kuwa hali hii imefanya wanachama wengi wenye mawazo mbadala kuhisi kutengwa, hali ambayo inahatarisha mshikamano na mustakabali wa chama hicho kikuu cha upinzani. "Ni wakati wa kuacha siasa za mtu mmoja na kujenga chama imara kinachowakilisha sauti ya kila mwanachama," alihitimisha Lissu.
MBOWE ni Mungu mtu
 
Mbowe angetaka kummaliza Lissu kisiasa, Hata Nairobi asingefika Kwa damu alizokua akivuja tangu akiwa dodoma, lilikua Ni suala la kumuacha tu avuje mpk afe.
 
Msigwa aliondoka chadema kwenda ccm kisa kaukosa uenyekiti WA chadema Kanda.

Alipofika ccm tulitegemea akabidhiwe huo uenyekiti ccm Kanda alioupigania, Ila kaenda ccm, kapigwa BENCHI mpk sasa.

LISSU nae mbioni kwenda ccm kisa kaukosa uenyekiti chadema Taifa,

Na akifika ccm, matarajio yangu atapewa uenyekiti ccm taifa.

Maana ake, Mama ajiandae kuachia nafas ya uenyekiti kabla Lissu hajabadili maamuzi na kutimkia ACT.
 
Msigwa aliondoka chadema kwenda ccm kisa kaukosa uenyekiti WA chadema Kanda.

Alipofika ccm tulitegemea akabidhiwe huo uenyekiti ccm Kanda alioupigania, Ila kaenda ccm, kapigwa BENCHI mpk sasa.

LISSU nae mbioni kwenda ccm kisa kaukosa uenyekiti chadema Taifa,

Na akifika ccm, matarajio yangu Ni Lissu atapewa uenyekiti ccm taifa.

Kwa maana hiyo, mama nae ajiandae kutuachia chama chetu, wanaccm tunamtaka Lissu kwenye nafas ya uenyekiti ccm taifa.
 
Back
Top Bottom