Pre GE2025 Mbowe: Nimemjenga na kumsaidia Lissu kwa mengi, kuna wakati najiuliza yeye ndo anayasema haya!

Pre GE2025 Mbowe: Nimemjenga na kumsaidia Lissu kwa mengi, kuna wakati najiuliza yeye ndo anayasema haya!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu kugombea uenyekiti anaonekana na mwenyekiti wake kama muasi.

Alitakiwa amwache atangulie haya yote yasingetokea.

Ikiwa LISSU anaweza kuwatendea watu waliookoa maisha yake vipi sisi asiotufahamu ?.
Kwani uenyekiti chadema ni mali binafsi ya mbowe?
Kosa la Lisu ni kugombea uenyekiti?
Mbowe alitakiwa kusoma alama za nyakati na kuondoka kwa heshima.
Kwa nini kila anayegombea anakuwa adui kwake?

Alianza Chacha Wangwe akafuata zitto kabwe,wote hao waliundiwa zengwe na kufukuzwa. Kumbe walionewa sana, tatizo ni Mbowe mwenyewe kujinufaisha kupitia CDM.
Awamu hii wapambe na machawa walitaka kuleta story zao za usaliti,umma ukawagomea na sasa wanahaha kumnusuru sultani na aibu inayokuja lakini hawatofanikiwa.
Wangekuwa wanampenda badala ya kujali matumbo yao,wangemwambia ukweli akajiuzuru kwani hakubaliki hadi huku chini mashinani.
 
Lissu kajazwa upepo, Tanzania yote anaiona kama yake, Maria kamfix Lissu kutokana nakigari
Mbowe alishapoteza ushawishi kitambo hadi huku chini mashinani. Wana CHADEMA wanaona amekiuza chama chao na akiendelea kuwa mwenyekiti kitakufa kabisa wakose tumaini.
Hiyo ndiyo sababu ya kumuamini Lisu na sasa Mbowe aking'ang'ania uongozi atabaki yeye na chawa wake tu.
 
Lissu nimemjenga na nimemsaidia kwa mambo mengi. Unapokuwa hauna Shukrani kwa mambo madogo hauwezi kuwa na shukrani kwa mambo makubwa. Kuna wakati ninajiuliza huyu ni Lissu, the boy, the guy, the friend ndiyo anayasema haya?”

View attachment 3194370
shida ya mbowe ni shule, aliona bora kuwa DJ kuliko kusoma wakati baba yake alikuwa na uwezo kumsomesha hata havard. msomi yeyote hawezi kuamini yeye pake yake ndio amemfaidisha colleague wake, anaposema yeye amemjenga TL, kwani TL hajamjenga chochote DJ? miaka yote amekaa tundu chadema mbowe hajajengwa chochote yeye tu ndio anajenga wenzake? angesema tu kwamba wamejengana. sasa kauli kama hizo ndio za umwinyi, anajiona yeye pekee ndio anaweza na ndio yupo juu ya wengine, kumbe watu wana akili zao wamekaa tu palee wanamshangaa.
 
Alitakiwa amwache atangulie haya yote yasingetokea.

Ikiwa LISSU anaweza kuwatendea watu waliookoa maisha yake vipi sisi asiotufahamu ?.
Hoja zimemwishia.
Alitakiwa atuambie wanachama
" Atafanya kipi kipya kwa miaka 5 anayoomba ambacho kwa miaka 20+ kimeshindikana"
Ni hilo tu na sio hizi story za kusaidia watu.
 
Hapa busara imekosekana, na kuna mambo mengi unnecessary yametendeka na yataendelea kutendeka, Hapa ndio huwa kuna umuhimu wa wazee kuwakalisha hawa vijana chini na kuwaweka sawa..., Shida wazee wenyewe ndio hawa vijana...
 
Lissu kugombea uenyekiti anaonekana na mwenyekiti wake kama muasi.
Mbowe anaonesha njia, Lisu anachochewa kuwa Mbowe kumchukua fomu ni makosa. Je Lisu alitaka wengine wasichukue fomu? Lah hasha, ni vyema Chadema ioneshe namna ya kufanya UCHAGUZI wa kidemokrasia.
 
Mbowe anaonesha njia, Lisu anachochewa kuwa Mbowe kumchukua fomu ni makosa. Je Lisu alitaka wengine wasichukue fomu? Lah hasha, ni vyema Chadema ioneshe namna ya kufanya UCHAGUZI wa kidemokrasia.
Wafuasi wa lisu wengi ni wajinga mno, bahati mbaya hawajijui!!!

Wanaonekana wanapenda democracy ila sio kweli hata kidogo!

Kwa akili za wafuasi wa lisu walitaka apite bila kupingwa!!! Mbowe kuchukua form anaonekana adui, sijui kwann hawajiamini!!!

Busara ni kupiga kampeni na kura ziamue sio kupenda mtelezo!!
 
Lissu nimemjenga na nimemsaidia kwa mambo mengi. Unapokuwa hauna Shukrani kwa mambo madogo hauwezi kuwa na shukrani kwa mambo makubwa. Kuna wakati ninajiuliza huyu ni Lissu, the boy, the guy, the friend ndiyo anayasema haya?”

View attachment 3194370
Ni wakati wa TAL
20250103_085515.jpg
 
Mzee ondoka unajivunjia heshima yako ndogo iliyobakia

..Mbowe anaamini amewajenga wenzake, na wao hawakuwa na msaada wowote kwake. Kipindi chote amekuwa Mwenyekiti ni yeye tu ametoa, wenzake hawajatoa.
 
Lissu nimemjenga na nimemsaidia kwa mambo mengi. Unapokuwa hauna Shukrani kwa mambo madogo hauwezi kuwa na shukrani kwa mambo makubwa. Kuna wakati ninajiuliza huyu ni Lissu, the boy, the guy, the friend ndiyo anayasema haya?”

View attachment 3194370
Majuto ni mjukuu ungelimuacha akafia muhimbili Erythrocyte n bado kwa kuropoka huku kuna lingine litampata labda awe ametumwa na dola kwa ushenzi anaoufanta
 
Lissu nimemjenga na nimemsaidia kwa mambo mengi. Unapokuwa hauna Shukrani kwa mambo madogo hauwezi kuwa na shukrani kwa mambo makubwa. Kuna wakati ninajiuliza huyu ni Lissu, the boy, the guy, the friend ndiyo anayasema haya?”

View attachment 3194370
Lissu kugombea nafasi ya Mwenyekiti imemuuma sana Sultan Mbowe sijui alikuwa na maagano gani na Samia juu ya Lissu kiasi amefikia kuleta masimango kama mwanamke wa kizaramo.
 
Wafuasi wa lisu wengi ni wajinga mno, bahati mbaya hawajijui!!!

Wanaonekana wanapenda democracy ila sio kweli hata kidogo!

Kwa akili za wafuasi wa lisu walitaka apite bila kupingwa!!! Mbowe kuchukua form anaonekana adui, sijui kwann hawajiamini!!!

Busara ni kupiga kampeni na kura ziamue sio kupenda mtelezo!!
Nyie CCM daily mnasema chama cha wachaga na wamekaa muda mrefu tunapindua meza hamtaki
 
Nyie CCM daily mnasema chama cha wachaga na wamekaa muda mrefu tunapindua meza hamtaki
Yaani ghafla Mbowe amekuwa kipenzi cha maccm, hapa haihitaji elimu ya juu kung'amua kuwa Sultan amekuwa duka
 
Back
Top Bottom