Hao hilo hawalijui maana wapo hapa jamvini kupinga kila kituWeka akiba ya maneno mkuu. Leo Magufuli ameenda zake mmebaki hamjui msimamie kipi.
Tume inaundwa,ikija na maazimio tupate chanjo sijui utasema nini.
Nakuona mjane unapambanaHata Kama ni swala la afya hiyo chanjo ya kuogopa sio wajinga walioamua kuacha hiyo chanjo licha ya hasara waliyopata yani namshangaa sana.. unajua bora taarifa isingekuwa imefahamika juu ya hiyo chanjo i mean angechoma kabla ya zengwe la kugandisha damu na kukataliwa na mataifa lukuki
Mbona mlishachuuzwa kwa wachina na yale mandege yasiyofanya kazi.Ametumwa huyo kupigia debe biashara za watu!
Anataka kutuchuuza watz!
Hujalazimishwa bali ARV unamezaKwa chanjo hapana,siungi mkono hoja!
Mi sichomi
Umeonaeeeeeeee?Wewe ni MATAGA uliyepooza sidhani kama unaweza kumkubali Mbowe kwa chochote.
Mungu mbariki Bilionea MboweMwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema amepata chanjo ya #COVID19 ya Astrazeneca alipokuwa nje ya nchi kibiashara...
Hapana chief..Sheria ya humu ni kwamba kila baada ya cku 90 unaruhusiwa kubadili ID.Mkuu Hii ID Yako ndo umekuwa ukiitumia toka 2018 ulipojiunga?
Nakazia in Ndugai voice.Na lazima chanjo italetwa tu utake usitake
Ndugai akipata chanjo,damu lazima igande.Nakazia in Ndugai voice.
Sasa kama mbowe ameamua achanjwe ili damu yake igande kuna tatizo?🤣🤣Hata Kama ni swala la afya hiyo chanjo ya kuogopa sio wajinga walioamua kuacha hiyo chanjo licha ya hasara waliyopata yani namshangaa sana.. unajua bora taarifa isingekuwa imefahamika juu ya hiyo chanjo i mean angechoma kabla ya zengwe la kugandisha damu na kukataliwa na mataifa lukuki
Ukiidharau Corona inakumaliza!!Corona ni kifo
Mbona mlishachuuzwa kwa wachina na yale mandege yasiyofanya kazi.
Kuyumbaje? Kwani kasema watu walazimishwe kupata chanjo? Chanjo iletwe kila mtu afanye uamuzi wa kuchomwa ama kutochomwa.Huyu nae kaanza kuyumba namuonaga kichwa lkn kwa hiyo chanjo ha ha ha!
Wewe ni zoba!!! Kama huitaji ni wewe, wapo wengi wanaoihitaji.Mwambieni kamanda wenu awanyunyuzie hiyo aliyopigwa yeye...huku hatutaki ujinga ujinga wa kufuata mikumbo..
Kwenye suala la chanjo Tanzania nadhani kila mtu ajiamulie mwenyewe,raisi aagize chanjo za CORONA Ila kwenye kuchanjwa au kutochanjwa wamuachie mwananchi mwenyewe na maamuzi yake!
Kila mtu na akili zake juu ya maisha yake