Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hao hilo hawalijui maana wapo hapa jamvini kupinga kila kituWeka akiba ya maneno mkuu. Leo Magufuli ameenda zake mmebaki hamjui msimamie kipi.
Tume inaundwa,ikija na maazimio tupate chanjo sijui utasema nini.