Hayo yote kayasema leo hii wakati akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari,
Hizi takwimu zake zinauhalisia maana sidhani kama Chadema alishinda kwa kiwango hicho kanda ya ziwa hususani katiaka mikoa ya Shinyanga,Mwanza,Geita na Simiyu kwa muibu wa maelezo yake,
Na hapa naona anaaribu kusema kura nyinyi za kanda ya ziwa ziliibiwa.
Hizi takwimu zake zinauhalisia maana sidhani kama Chadema alishinda kwa kiwango hicho kanda ya ziwa hususani katiaka mikoa ya Shinyanga,Mwanza,Geita na Simiyu kwa muibu wa maelezo yake,
Na hapa naona anaaribu kusema kura nyinyi za kanda ya ziwa ziliibiwa.