Mbowe: Nimetoka Gerezani kwa moyo mweupe. Katiba ni ajenda yetu, Sisi sio magaidi

Mbowe: Nimetoka Gerezani kwa moyo mweupe. Katiba ni ajenda yetu, Sisi sio magaidi

Pu
Tayari ashatengeneza mazingira ya kuwahadaa watu. Jamaa kaishavimbishwa mfuko na bimkubwa ili aje atulie na kuwahadaa hadaa ndondocha wake hadi 2025. Sasa hivi tutasikia jamaa karuka mala moja Dubai kutumia alichokusanya kwa bimkubwa ili kupunguza mawazo.

Acha kujiona binadamu special kisa upo CCM.
 
Tayari ashatengeneza mazingira ya kuwahadaa watu. Jamaa kaishavimbishwa mfuko na bimkubwa ili aje atulie na kuwahadaa hadaa ndondocha wake hadi 2025. Sasa hivi tutasikia jamaa karuka mala moja Dubai kutumia alichokusanya kwa bimkubwa ili kupunguza mawazo.

Unaita wenzako dondocha? Kuna Wana CCM walikuwa na dharau kuzidi wewe leo hawapo kwenye uso wa dunia.
 
Nilidhani anaongelea maazimio ya kamati kuu.

Lakini ninachokisikia ni mambo ya kesi na maisha ya gerezani tu.

Mbowe usiwe kama Lisu anayeongelea risasi kila siku, Wewe ni mwanasiasa mkubwa zungumzia mambo makubwa.

Kwa mfano, wasisitize CCM na serikali yake wahakikishe wanakamilisha miradi mikubwa yote ya maendeleo iliyoanzishwa na Mzalendo namba 2 baada ya Nyerere Shujaa Magufuli!

Umemuelewa?. Leo ndio siku yake ya kuongea na vyombo vya habari. Hakutaka kuongea kabla hajapata baraka za kamati kuu.

Kuhusu Hilo suala la miradi, bunge lipo kwaajili hiyo sio kazi ya CHADEMA ambayo kutwa mnaidharau.
 
Mbona kwenye wale wabunge feki anaongea na maelezo hayajakamilika aijulikan anawakubal au anawakana na msimamo wa chama ni nn kuhusu wale wabunge wa mchongo

Chadema tena sana sana mboe aache kucheza na akili za watu kijinga ivyo watanzania wa leo sio wale wa miaka ile tunataka tuone msimamo wa chama ni upi si ngojera kla sku

Ccm itabaki juu na itatawala sana kwa ujinga huu wa upinzani tusitegemee
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama haya ndio mazungumzo ya Mbowe yule wa baada ya hayati kufariki? Basi huyu si mwamba tena bali ni udongo tu!

Mbowe alishasalimu amri kwa hangaya na alishaelekea kibra siku nyingi tu!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Vibaka waliokuwa wanamwita Mwamba kuwa ni gaidi sasa hivi wanamkumbatia😁😁😁
IoEXs.jpg
IbaKD.jpg
 
Hayo yote kayasema leo hii wakati akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari,

Hizi takwimu zake zinauhalisia maana sidhani kama Chadema alishinda kwa kiwango hicho kanda ya ziwa hususani katiaka mikoa ya Shinyanga,Mwanza,Geita na Simiyu kwa muibu wa maelezo yake,

Na hapa naona anaaribu kusema kura nyinyi za kanda ya ziwa ziliibiwa.

Leo ndio nimepata ukweli.

Maana yule mgombea wa Geita mjini alipata kura nyingi Sana.

Hadi nikashangaa imekuwaje Geita CHADEMA ipate kura nyingi?

. Wizi wa kura Ni mbaya.
 
Jela,polisi, mahabusi ayo ni makazi ya mwanasiasa yyte yule dunian yan mwanasiasa kwenda jela huwa sio hoja sabu ni makaz yao ya pili

Mbowe ni kiangozi mkubwa sana ktk taifa ili alitakiwa aje na hoja na habari za maana za kuzungumza na wananchi kupitia waandishi wa habari ila izi ngojera anazoleta za kusamee wote za nmejifunza meng jela imeniimalisha

Izo alipaswa aongee mtu km mdude sio yy
 
Muulize yeye, jaza form au piga simu, sisi tunajuaje? Mi najua chadema ili shinda kwa 52%

Kweli kabisa. kipindi Cha uchaguzi mkuu kura feki zilikamatwa na mitandao ilizimwa. Swali kwanini yote haya yalitokea?. Mtu akidai CHADEMA ilishinda utamkataliaje?. Kwanini uzime mitandao siku ya uchaguzi mpaka siku ya kutangaza shida Ni Nini?.
 
Nimesema na ninasema kuwa, natangaza msamaha kwa yeyote yule nafikiri aliyenitendea baya, sina chuki wala kisasi na nawaomba Wanachadema wenzangu tusiwe na chuki na yeyote katika mapambano ya kutafuta uhuru na Ustawi wa
Great Words From Great People.

Mh Mbowe na sisi tumeumizwa sana tumewasamehe. Hatuna kinyongo nao.

Kisasi ni cha Mungu.
 
Back
Top Bottom