Kweli ujinga huwezi kujificha kwa mtuMbowe akaimu nafasi ya baba wa taifa
Wakati anabadili gia angani alidhani ni rahisi tu.Ko wanaoaminika ni aina yako mnaoharisha utumbo humu ?!
Mimi mwenyewe nadhani waliompa taarifa walikoseaLabda Kanda ya Ziwa Kilimanjaro kama lipo.
Job Ndugai yuko wapi MATAGA?Ni jambo jema!
Mungu ibariki ChademaMBOWE ANAZUNGUMZA MAAZIMIO YA CHADEMA, ASEMA ALICHOZUNGUMZA NA RAIS SAMIA
Sehemu ya nukuu za Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Machi 18, 2022:
Tume hii ya leo imepeleka majina bungeni ya kughushi na watu wameapishwa kuwa wabunge, halafu mnakuja mnasema turidhiane sasa
Labda baba wa Rau Madukani!
Nimeona kwa Maria, ni nani huyu kwenye machela?
Kutoa na kupokea rushwa ni kosa kisheria,unataka kutuambia huyo Bmkubwa ni mtoaji?Tayari ashatengeneza mazingira ya kuwahadaa watu. Jamaa kaishavimbishwa mfuko na bimkubwa ili aje atulie na kuwahadaa hadaa ndondocha wake hadi 2025. Sasa hivi tutasikia jamaa karuka mala moja Dubai kutumia alichokusanya kwa bimkubwa ili kupunguza mawazo.
Nimeona kwa Maria, ni nani huyu kwenye machela?
Mala=mara akili za ccm ...Tayari ashatengeneza mazingira ya kuwahadaa watu. Jamaa kaishavimbishwa mfuko na bimkubwa ili aje atulie na kuwahadaa hadaa ndondocha wake hadi 2025. Sasa hivi tutasikia jamaa karuka mala moja Dubai kutumia alichokusanya kwa bimkubwa ili kupunguza mawazo.