mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sijui hata unaongea utoto gani, kanyamaza ghafla na ndio katoka jela wala hana 48hrs nje!
Kuna nchi hazina uchaguzi kabisa na zinafanya vizuri kuliko sisi katika nyanja zote.
Binafsi sijali, kuwe au kusiwe na tume huru. Itasaidia nini kukunyayua wewe maisha yako binafsi?
Tatizo kubwa, mmejazwa na kusomeshwa sana ujinga na mzungu mpaka umewajaa ndi ndi ndi, hamjijui kuwa mnajitafutia wenyewe mnyororo upi mzuri wa kujifunga nao zaidi na mnaugombania.
Damned if you do, damned if you don't.
Hivi hujui kwamba katika ukimya kuna hekima? Na uzuri ni kwamba ameomba akae kimya kwa muda. Hii ina maana anataka kupata muda wa kutafakari aongee nini muda utakapowadiaMbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?
Huyu mama zamani nilikuwa namuona kama ana akili na busara sana. But lately nimegundua hamna kitu and she is a disgrace to the countrykwa hyo mnapenda mtawale peke yenu?
Sasa kuna umuhimu gani wq kuita nchi ya demokrasia?
Na vyama vipi?
Huyu mama zamani nilikuwa namuona kama ana akili na busara sana. But lately nimegundua hamna kitu and she is a disgrace to the countrykwa hyo mnapenda mtawale peke yenu?
Sasa kuna umuhimu gani wq kuita nchi ya demokrasia?
Na vyama vipi?
Hayo jiulize wewe.kwa hyo mnapenda mtawale peke yenu?
Sasa kuna umuhimu gani wq kuita nchi ya demokrasia?
Na vyama vipi?
Upo sahihi sana ndugu yangu maana kwa wapigania matumbo yao wote hawakupendezwa kabisa na mh Mbowe ni kuwa huru.Ukweli ni kwamba ha Mataga wengi wakina Katambi na vijanaUviccm ni Pangu pakavu tia mchuzi hakuna kitu kwa hao vijana leo wameanzisha group la uchonganishi wa Mbowe kukubali kwenda Ikulu iwe ajenda ya kummaliza Mbowe
Ukweli mmeshashindwa kabla
Niwakumbushe kundilenu ni sawa tu na wale Pangu pakavu wazamani wa Simba na Yanga(Makomando wa milangoni) baada ya mabadiliko ya mfumo wa mpira wamepotea hivyo hivyo na kina Katambi mmnaenda kupotea katika siasa safi zinazokuja zikiongozwa na MAMA na wapenda amani wa kweli wa nchi hii Ukomandoo uchwara THE END
Hayo jiulize wewe.
Nani dunia hii anaependa kutawaliwa zaidi yako wewe?
Unafikiri Rais akitokea chadema ndio wewe hujatawaliwa? Anza kwa kujifungua minyororo iliyopo kichwani mwako, jitawale wewe mwenyewe kwanza ili uamue nani akufanyie kazi zako zipi, kuanzia nyumbani kwako mpaka serikalini. Fikiri.
Au huelewei maana ya "King maker"?
Kama mlitegemea mh Mbowe afungwe sasa imekula kwenu.Mbowe ana akili sana.. Kaona mnamponza tuu, nyinyi mko makwenu yeye aende lupango...
Upo sahihi sana ndugu yangu maana kwa wapigania matumbo yao wote hawakupendezwa kabisa na mh Mbowe ni kuwa huru.
Kitendo cha mh rais kumuita mh Mbowe kwenda ikulu kimewauma sana hao kina kwangu pakavu tia mchuzi maana wao wanategemea migogoro idumu ili wapate nafasi ya kuuza majungu.
Mzee wako Nyerere hakutaka vyama vingi. Yeye alipiga marufuku vyama vingi muda mchache tu baada ya kuingia madarakani.Kwani mzee wetu nyerere alipotaka vyama vingi halikuwq hayajui hayo?
Kuwa ipo siku Ccm itatakiwa kuondoka madarakani kwa Kura?
Na kwanini una amini wewwt ccm ndo unaweza kuitawala Tanzania vizuri na sio chama kingine?
Kuna Siri gani kati ya ccm na TANZANIA mpaka hamtaki kuwe na tume huru ya uchaguzi?
Nani kama mama?Huyu mama zamani nilikuwa namuona kama ana akili na busara sana. But lately nimegundua hamna kitu and she is a disgrace to the country
Hata wendawazimu wapo.....Nani kama mama?
Ni maradhi tu hayo, yanaweza kumpata yeyote. Wewe una "wazimu proof"? hajajitakia yeye kuwa mwendawazimu. Kumbuka hilo.Hata wendawazimu wapo.....
Mh Mbowe amesema anaomba watu wamruhusu kunyamaza kwanza kwa kipindi hiki atakapo kuwa tayari atazungumza na taifa na watanzania kwa ujumla!
My opinion
Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?
Mbowe alitakiwa kuongea na watanzania kabla hata ya kuongea na Rais kwani watanzania walio wengi walitamani kuona Mbowe anakuwa wa kwanza kuongea nao na sio kuwaomba muda wa kunyamaza!
Mbowe sidhani kama ana sababu za msingi za kutoongea kwa sasa na sidhani kama kuongea na watanzania kwa sasa kungepunguza chochote! Ikiwa aliweza kuongea na Rais kwanini asiongee na watanzania?View attachment 2141158
Nakumbuka Lissu alitoa taarifa kwa umma kupitia mitandao ya kijamii baada ya kutoka kuongea na Samia, wengine mkaanza kudai Lissu amekosa hekima hakutakiwa kuongea yote aliyozungumza na Samia.
Juzi Mbowe katoka kuongea na Samia, baada ya hapo hajasema chochote mpaka atakapokaa na viongozi wenzake ndio waje na msimamo mmoja, hili nalo nashangaa wengine hamjaridhika, wakati simply anaonesha sifa ya kiuongozi - collective responsibility.
Kutokana na hizo scenario mbili tofauti hapo juu zinaonesha vile baadhi yenu msivyoridhishwa na chochote, hata mfanyiwe nini bado mtalalamika tu, na hapo ndipo napata picha vile viongozi wa CDM wanavyowaongoza wanachama vichwa ngumu na watanzania kwa ujumla.
Very perspicacious!1. Swala la taarifa ya Lissu hapa halina relevance, kwasababu mtoa hoja hajasema kwamba anataka Mbowe aueleze umma kile alichoongea na Rais. In fact, yeye mtoa hoja alitarajia kwamba Mbowe angeongea na umma kabla hata hajakutana na Rais.
2. Umemwekea Mbowe maneno mdomoni. Sababu alizozitoa yeye za kuomba aachwe anyamaze siyo hizi ambazo wewe umezitaja hapa.
Mbona mnakua wajinga hivi? Jamaa yenu kaonyesha busara yani upewe mwaliko na Rais unaanzaje kukataa akikuamlia hata hiyo press unaweza usiifanyeMh Mbowe amesema anaomba watu wamruhusu kunyamaza kwanza kwa kipindi hiki atakapo kuwa tayari atazungumza na taifa na watanzania kwa ujumla!
My opinion
Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?
Mbowe alitakiwa kuongea na watanzania kabla hata ya kuongea na Rais kwani watanzania walio wengi walitamani kuona Mbowe anakuwa wa kwanza kuongea nao na sio kuwaomba muda wa kunyamaza!
Mbowe sidhani kama ana sababu za msingi za kutoongea kwa sasa na sidhani kama kuongea na watanzania kwa sasa kungepunguza chochote! Ikiwa aliweza kuongea na Rais kwanini asiongee na watanzania?View attachment 2141158