Mbowe: Niruhusuni kunyamaza

Mbowe: Niruhusuni kunyamaza

Kuomba kunyamaza kuna tafsiri hana nia ya kuendelea na harakati zake.
Angenyamaza tu bila kuomba.
Tungejua mzee anajipanga.
Ila niliwaambia mapema HAKUNA FREE YA BURE.
Sijui hata unaongea utoto gani, kanyamaza ghafla na ndio katoka jela wala hana 48hrs nje!
 
kwa hyo mnapenda mtawale peke yenu?
Sasa kuna umuhimu gani wq kuita nchi ya demokrasia?
Na vyama vipi?
Kuna nchi hazina uchaguzi kabisa na zinafanya vizuri kuliko sisi katika nyanja zote.

Binafsi sijali, kuwe au kusiwe na tume huru. Itasaidia nini kukunyayua wewe maisha yako binafsi?

Tatizo kubwa, mmejazwa na kusomeshwa sana ujinga na mzungu mpaka umewajaa ndi ndi ndi, hamjijui kuwa mnajitafutia wenyewe mnyororo upi mzuri wa kujifunga nao zaidi na mnaugombania.

Damned if you do, damned if you don't.
 
Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?
Hivi hujui kwamba katika ukimya kuna hekima? Na uzuri ni kwamba ameomba akae kimya kwa muda. Hii ina maana anataka kupata muda wa kutafakari aongee nini muda utakapowadia
 
kwa hyo mnapenda mtawale peke yenu?
Sasa kuna umuhimu gani wq kuita nchi ya demokrasia?
Na vyama vipi?
Huyu mama zamani nilikuwa namuona kama ana akili na busara sana. But lately nimegundua hamna kitu and she is a disgrace to the country
 
kwa hyo mnapenda mtawale peke yenu?
Sasa kuna umuhimu gani wq kuita nchi ya demokrasia?
Na vyama vipi?
Huyu mama zamani nilikuwa namuona kama ana akili na busara sana. But lately nimegundua hamna kitu and she is a disgrace to the country
 
kwa hyo mnapenda mtawale peke yenu?
Sasa kuna umuhimu gani wq kuita nchi ya demokrasia?
Na vyama vipi?
Hayo jiulize wewe.

Nani dunia hii anaependa kutawaliwa zaidi yako wewe?

Unafikiri Rais akitokea chadema ndio wewe hujatawaliwa? Anza kwa kujifungua minyororo iliyopo kichwani mwako, jitawale wewe mwenyewe kwanza ili uamue nani akufanyie kazi zako zipi, kuanzia nyumbani kwako mpaka serikalini. Fikiri.

Au huelewei maana ya "King maker"?
 
Ukweli ni kwamba ha Mataga wengi wakina Katambi na vijanaUviccm ni Pangu pakavu tia mchuzi hakuna kitu kwa hao vijana leo wameanzisha group la uchonganishi wa Mbowe kukubali kwenda Ikulu iwe ajenda ya kummaliza Mbowe
Ukweli mmeshashindwa kabla
Niwakumbushe kundilenu ni sawa tu na wale Pangu pakavu wazamani wa Simba na Yanga(Makomando wa milangoni) baada ya mabadiliko ya mfumo wa mpira wamepotea hivyo hivyo na kina Katambi mmnaenda kupotea katika siasa safi zinazokuja zikiongozwa na MAMA na wapenda amani wa kweli wa nchi hii Ukomandoo uchwara THE END
Upo sahihi sana ndugu yangu maana kwa wapigania matumbo yao wote hawakupendezwa kabisa na mh Mbowe ni kuwa huru.

Kitendo cha mh rais kumuita mh Mbowe kwenda ikulu kimewauma sana hao kina kwangu pakavu tia mchuzi maana wao wanategemea migogoro idumu ili wapate nafasi ya kuuza majungu.
 
Kwani mzee wetu nyerere alipotaka vyama vingi halikuwq hayajui hayo?
Kuwa ipo siku Ccm itatakiwa kuondoka madarakani kwa Kura?
Na kwanini una amini wewwt ccm ndo unaweza kuitawala Tanzania vizuri na sio chama kingine?
Kuna Siri gani kati ya ccm na TANZANIA mpaka hamtaki kuwe na tume huru ya uchaguzi?
Hayo jiulize wewe.

Nani dunia hii anaependa kutawaliwa zaidi yako wewe?

Unafikiri Rais akitokea chadema ndio wewe hujatawaliwa? Anza kwa kujifungua minyororo iliyopo kichwani mwako, jitawale wewe mwenyewe kwanza ili uamue nani akufanyie kazi zako zipi, kuanzia nyumbani kwako mpaka serikalini. Fikiri.

Au huelewei maana ya "King maker"?
 
Wakati zito alipomuombea msamaha mbowe kwa Samia mkakaza vichwa mlikuwa hamlijui Hilo?
Au mmesoma upepo?
Upo sahihi sana ndugu yangu maana kwa wapigania matumbo yao wote hawakupendezwa kabisa na mh Mbowe ni kuwa huru.

Kitendo cha mh rais kumuita mh Mbowe kwenda ikulu kimewauma sana hao kina kwangu pakavu tia mchuzi maana wao wanategemea migogoro idumu ili wapate nafasi ya kuuza majungu.
 
Kwani mzee wetu nyerere alipotaka vyama vingi halikuwq hayajui hayo?
Kuwa ipo siku Ccm itatakiwa kuondoka madarakani kwa Kura?
Na kwanini una amini wewwt ccm ndo unaweza kuitawala Tanzania vizuri na sio chama kingine?
Kuna Siri gani kati ya ccm na TANZANIA mpaka hamtaki kuwe na tume huru ya uchaguzi?
Mzee wako Nyerere hakutaka vyama vingi. Yeye alipiga marufuku vyama vingi muda mchache tu baada ya kuingia madarakani.

Aliyerudisha vyama vingi ni Mzee Ruksa, Rais Ali Hassan Mwinyi. Kumbuka hilo.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Aongee nini sasa! Kaongea mpaka kalia,Mbowe mwanasiasa Chiba mwanaharakati alafu kichwa chake hakipo vizuri
 
[emoji871]Kwani aongee kipi ambacho hajaongea?

[emoji871]Mbona tunaona clips nyingi huko YouTube akiongea,tangia ametoka gerezani?

[emoji871]Yeye ni mjanja na ametumia Kanisa kutafuta Attention ya watu, ili siku ya kutaka kuanza harakati zake apate watazamaji.

[emoji871]Hizi zingine ni Kick za kuchonga tu mnazompa.

[emoji419]Isitoshe hata yeye anaelewa kwamba pale kanisani sio jukwaa la siasa,wala hakuna muumini aliemuomba aongee zaidi ya kutoa salamu na shukurani.

[emoji871]Ametumia ujanja wa kisiasa kuchomekea hoja yake.
 
Mh Mbowe amesema anaomba watu wamruhusu kunyamaza kwanza kwa kipindi hiki atakapo kuwa tayari atazungumza na taifa na watanzania kwa ujumla!

My opinion

Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?

Mbowe alitakiwa kuongea na watanzania kabla hata ya kuongea na Rais kwani watanzania walio wengi walitamani kuona Mbowe anakuwa wa kwanza kuongea nao na sio kuwaomba muda wa kunyamaza!

Mbowe sidhani kama ana sababu za msingi za kutoongea kwa sasa na sidhani kama kuongea na watanzania kwa sasa kungepunguza chochote! Ikiwa aliweza kuongea na Rais kwanini asiongee na watanzania?View attachment 2141158

Sababu za msingi anazo

Amekaa jela miezi nane, amekaa mbali na family yake Kwa miezi nane, sio Jambo dogo

Unataka atoke Tu aanze kuongea kukufurahisha ww ambae ujaenda hata magereza kumtembelea ?

Mboe nae ni binadamu
 
Nakumbuka Lissu alitoa taarifa kwa umma kupitia mitandao ya kijamii baada ya kutoka kuongea na Samia, wengine mkaanza kudai Lissu amekosa hekima hakutakiwa kuongea yote aliyozungumza na Samia.

Juzi Mbowe katoka kuongea na Samia, baada ya hapo hajasema chochote mpaka atakapokaa na viongozi wenzake ndio waje na msimamo mmoja, hili nalo nashangaa wengine hamjaridhika, wakati simply anaonesha sifa ya kiuongozi - collective responsibility.

Kutokana na hizo scenario mbili tofauti hapo juu zinaonesha vile baadhi yenu msivyoridhishwa na chochote, hata mfanyiwe nini bado mtalalamika tu, na hapo ndipo napata picha vile viongozi wa CDM wanavyowaongoza wanachama vichwa ngumu na watanzania kwa ujumla.

Kabisa kabisa,
 
1. Swala la taarifa ya Lissu hapa halina relevance, kwasababu mtoa hoja hajasema kwamba anataka Mbowe aueleze umma kile alichoongea na Rais. In fact, yeye mtoa hoja alitarajia kwamba Mbowe angeongea na umma kabla hata hajakutana na Rais.

2. Umemwekea Mbowe maneno mdomoni. Sababu alizozitoa yeye za kuomba aachwe anyamaze siyo hizi ambazo wewe umezitaja hapa.
Very perspicacious!
 
Mh Mbowe amesema anaomba watu wamruhusu kunyamaza kwanza kwa kipindi hiki atakapo kuwa tayari atazungumza na taifa na watanzania kwa ujumla!

My opinion

Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?

Mbowe alitakiwa kuongea na watanzania kabla hata ya kuongea na Rais kwani watanzania walio wengi walitamani kuona Mbowe anakuwa wa kwanza kuongea nao na sio kuwaomba muda wa kunyamaza!

Mbowe sidhani kama ana sababu za msingi za kutoongea kwa sasa na sidhani kama kuongea na watanzania kwa sasa kungepunguza chochote! Ikiwa aliweza kuongea na Rais kwanini asiongee na watanzania?View attachment 2141158
Mbona mnakua wajinga hivi? Jamaa yenu kaonyesha busara yani upewe mwaliko na Rais unaanzaje kukataa akikuamlia hata hiyo press unaweza usiifanye
 
Back
Top Bottom