Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mzee wako Nyerere hakutaka vyama vingi. Yeye alipiga marufuku vyama vingi muda mchache tu baada ya kuingia madarakani.
Aliyerudisha vyama vingi ni Mzee Ruksa, Rais Ali Hassan Mwinyi. Kumbuka hilo.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwani katiba iliyopo inawazuia?
Mbowe ana akili nyingi sn ni kama Mandela ya watanzanaiMh Mbowe amesema anaomba watu wamruhusu kunyamaza kwanza kwa kipindi hiki atakapo kuwa tayari atazungumza na taifa na watanzania kwa ujumla!
My opinion
Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?
Mbowe alitakiwa kuongea na watanzania kabla hata ya kuongea na Rais kwani watanzania walio wengi walitamani kuona Mbowe anakuwa wa kwanza kuongea nao na sio kuwaomba muda wa kunyamaza!
Mbowe sidhani kama ana sababu za msingi za kutoongea kwa sasa na sidhani kama kuongea na watanzania kwa sasa kungepunguza chochote! Ikiwa aliweza kuongea na Rais kwanini asiongee na watanzania?View attachment 2141158
Hapana migogoro haijengi jamaniWacha tuu tumruhusu maana hatuwezi jua kule ikulu alilishwa nini maana kila anaeingia huko akitoka anakuwa sio yeye kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kuwa mweupe sana....Kama mlitegemea mh Mbowe afungwe sasa imekula kwenu.
Possibly. Wazee wa Kaunda Suti si wa mchezo mchezo, hawapendi mama asumbuke.Isije kuwa kanyamazishwa huyoβ¦
Lissu aliongelea akiwa Brussels.Mbona Lissu aliongea? Au Lissu yeye ni wa aina gani?
πKwani katiba iliyopo inawazuia wachaga kuchukua nchi?
Mweupe ni aliye kuzaaWacha kuwa mweupe sana....
Zoba kazini[emoji867]
Akili za ki sukuma gangPossibly. Wazee wa Kaunda Suti si wa mchezo mchezo, hawapendi mama asumbuke.
Siyo kama bali ni Mandela wa Tanzania.Mbowe ana akili nyingi sn ni kama Mandela ya watanzanai
Kabisa aseeSiyo kama bali ni Mandela wa Tanzania.
Junya wewe πZoba kazini
Nikawaida ya mshamba kukimbilia matusi kama silaha yake.Junya wewe [emoji867]
Mshamba kama wewe ni mzigo kwenye jamii iliyo staarabikaJunya wewe [emoji867]
πMshamba kama wewe ni mzigo kwenye jamii iliyo staarabika
Tindo kama @tindoπ€£ππππππππππππAtaongea rasmi kama kiongozi baada ya muda fulani, kama una mazungumzo binafsi na yeye nenda nyumbani kwake au ofisini. Kwa sasa endelea kuongea na mbunge na diwani wako waliopatikana kwa uchaguzi wa kihayawani.
Mchele laaiiiniiiiii kutoka Ngwandagwamashimo[emoji867]