Mbowe: Niruhusuni kunyamaza

Mbowe: Niruhusuni kunyamaza

Abramovich ana kanuni yake muhimu kuwa Rais ndio anamiliki jela na sheria hivo alikuwa mtu makini ambaye alihakikisha kuwa hakosani na watawala ili asiharibu mambo yake.

Point muhimuu sana... Asomae na Afahamu
 
aliyepiga Kura ya vyama vingi ni nani kama sio nyerere?
Mzee wako Nyerere hakutaka vyama vingi. Yeye alipiga marufuku vyama vingi muda mchache tu baada ya kuingia madarakani.

Aliyerudisha vyama vingi ni Mzee Ruksa, Rais Ali Hassan Mwinyi. Kumbuka hilo.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mh Mbowe amesema anaomba watu wamruhusu kunyamaza kwanza kwa kipindi hiki atakapo kuwa tayari atazungumza na taifa na watanzania kwa ujumla!

My opinion

Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?

Mbowe alitakiwa kuongea na watanzania kabla hata ya kuongea na Rais kwani watanzania walio wengi walitamani kuona Mbowe anakuwa wa kwanza kuongea nao na sio kuwaomba muda wa kunyamaza!

Mbowe sidhani kama ana sababu za msingi za kutoongea kwa sasa na sidhani kama kuongea na watanzania kwa sasa kungepunguza chochote! Ikiwa aliweza kuongea na Rais kwanini asiongee na watanzania?View attachment 2141158
Mbowe ana akili nyingi sn ni kama Mandela ya watanzanai
 
Ataongea rasmi kama kiongozi baada ya muda fulani, kama una mazungumzo binafsi na yeye nenda nyumbani kwake au ofisini. Kwa sasa endelea kuongea na mbunge na diwani wako waliopatikana kwa uchaguzi wa kihayawani.
Tindo kama @tindo🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom