Mbowe: Niruhusuni kunyamaza

Mbowe: Niruhusuni kunyamaza

Mbowe mihemko yake ndo kawafanya watu wacharuke ivo na kumuuliza maswali meengi ya ki- ivo!! hana hekima za kiuongozi huyu!! yeye angepiga kimya tu!! au angeongea mengine ya kisiasa yanayoendana na wkt uliopo!! lkn hakufanya ivo!!

ina maana huyu siasa kairukia tu analazimisha!! hana lolote huyu!! mwana siasa wa kweli hakosagi la kuongea bana wee!...amelewa umaarufu!!......kiburi kimemfanya akatae washauri!!! sasa anaboronga bila kujijua! ndo wanakosaga wanachama kiivi!

baadaye oooh! tumerogwa!
 
Nakumbuka Lissu alitoa taarifa kwa umma kupitia mitandao ya kijamii baada ya kutoka kuongea na Samia, wengine mkaanza kudai Lissu amekosa hekima hakutakiwa kuongea yote aliyozungumza na Samia.

Juzi Mbowe katoka kuongea na Samia, baada ya hapo hajasema chochote mpaka atakapokaa na viongozi wenzake ndio waje na msimamo mmoja, hili nalo nashangaa wengine hamjaridhika, wakati simply anaonesha sifa ya kiuongozi - collective responsibility.

Kutokana na hizo scenario mbili tofauti hapo juu zinaonesha vile baadhi yenu msivyoridhishwa na chochote, hata mfanyiwe nini bado mtalalamika tu, na hapo ndipo napata picha vile viongozi wa CDM wanavyowaongoza wanachama vichwa ngumu.
Ndugu denooJ wanachama vichwa ngumu wa CHADEMA ni wepi kwani...?

Je, unamaanisha huyu mleta mada Leak.....?

Umekosea sana kumpa hadhi ya "mwanachama mwenye kichwa kigumu" kwa sababu huyu siye mwana - CHADEMA....

Huyu ni wa kule kwenye majani ya migomba. Huko hawana HEKIMA wala BUSARA kwa kila jambo...

Amechukia kupigwa chenga ya namna hii na Mwenyekiti. Kwa sababu we all know kwamba mwenyekiti ni gentleman. Haiwezi kufanya mambo kwa tune ya maCCM...

By the way, scenario ya Tundu Lissu kusema mara moja au muda mchache baada ya kuwa amekutana na kuzungumza na Rais iko far different na scenario ya Mwenyekiti Freeman Mbowe....

Kwa scenario ya Tundu Lissu kutoa staement immediately baada ya mazungumzo yake na Rais kule Brussels Ubelgiji, tactically and politically ilikuwa timing moja bab kubwa sana....

Na kwa taarifa tu na hususani wasiojua na wasio na pua za masafa marefu ya kunusa, ni kuwa mazungumzo yale ndiyo yaliyofungua macho na ufahamu wa Rais Samia juu ya kesi ya Freeman Mbowe na kuuona ukweli ambao alifichwa kuuona muda wote kiasi cha yeye wakati mwingine kujikuta anasema uongo kwa sbb mara zote amekuwa akidanganywa na wasaidizi wake....

Kitendo cha TL chapchap kuutangazia ulimwengu walichoongea na Rais, kiliwaudhi sana wahafidhina wa ndani ya CCM na serikalini and from there, they knew exactly what is coming next..

Ndugu Leak tuliza makalio. Politic is a game of number. Calculation za CHADEMA ziko perfect kabisa....

Kumhusu Rais na serikali, ile saa moja ya mazungumzo kule Ubelgiji kati ya Rais Samia vs Tundu Lissu [M/M/Kiti - CHADEMA] ilibadilisha kila kitu hususani mtazamo na ufahamu wa mambo na siasa za Tanzania kwa Rais Samia na matokeo yake ni haya and a lot more is coming....

Freeman Mbowe ataongea tu kwa wakati mwafaka....
 
Mbowe mihemko yake ndo kawafanya watu wacharuke ivo na kumuuliza maswali meengi ya ki- ivo!! hana hekima za kiuongozi huyu!! yeye angepiga kimya tu!! au angeongea mengine ya kisiasa yanayoendana na wkt uliopo!! lkn hakufanya ivo!!

ina maana huyu siasa kairukia tu analazimisha!! hana lolote huyu!! mwana siasa wa kweli hakosagi la kuongea bana wee!...amelewa umaarufu!!......kiburi kimemfanya akatae washauri!!! sasa anaboronga bila kujijua! ndo wanakosaga wanachama kiivi!

baadaye oooh! tumerogwa!
Wewe malaya wa mtaa gani? Bakuli kubwaa!!
 
Aongee nini wakati mama kaenda kule lupango kabla na kumwambia.. 'wewe mangi nimeambiwa unafungwa. Ushahidi upande wa mashitaka wameshaona una hatia makosa manne kati ya matano. Wanasheria wananambia hata ukijitetea vipi huwezi chomoa makosa yote.

Kwa hivyo kama unakubali kufunga domo lako na kujidai wewe ndio unajua haki ni nini kuliko watu wote nchini, kama mkuu wa nchi na serikali nitamuomba dpp akufutie mashitaka. Lakini ujue ukileta ujuaji tunarejesha kesi iendelee ilikoishia. Kama unakubali nijibu hapahapa.

Sijakuja kwa mkutano au mapatano yoyote'. Mbowe akajibu haraka .. 'naam mama nakubali naona maji kina kimezidi nazama niokoe' mama akaondoka.
Akishaongea baadae njoo ukejeli tena hapa.

Kwani huyo unaemwita mama ninani si ni maji tu ya manii kama wewe.
Kama mnapenda kutukuza tukuzani nyinyi kama huyu.
IMG_20211231_191325.jpg
 
Mh Mbowe amesema anaomba watu wamruhusu kunyamaza kwanza kwa kipindi hiki atakapo kuwa tayari atazungumza na taifa na watanzania kwa ujumla!

My opinion

Mbowe hawatendei haki wafuasi wake na watanzania ambao walimuombea usiku na mchana leo hii anawataka wampe muda wa kunyamaza?

Mbowe alitakiwa kuongea na watanzania kabla hata ya kuongea na Rais kwani watanzania walio wengi walitamani kuona Mbowe anakuwa wa kwanza kuongea nao na sio kuwaomba muda wa kunyamaza!

Mbowe sidhani kama ana sababu za msingi za kutoongea kwa sasa na sidhani kama kuongea na watanzania kwa sasa kungepunguza chochote! Ikiwa aliweza kuongea na Rais kwanini asiongee na watanzania?View attachment 2141158
Mbowe anataka liwe swala la kitaifa nyie mtaka liwe swala la ku trend na ushabiki pekee. Lazima uongee wakati umetulia na lissu hakuwa jela na tayari alishajiandaa kuongea na Raisi lakini Mbowe hakujua yote haya
 
Nchi Inaendeshwa kwa mfumo wa kifalme punde CCM ikisimika cman na Rais.
Hitaji la Katiba Bora ni muhimu.
 
Back
Top Bottom