Wapo wamachame,wachagga(vunjo),warombo,wapare,wagweno na wasihaKilimanjaro sio ya wachaga peke yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wamachame,wachagga(vunjo),warombo,wapare,wagweno na wasihaKilimanjaro sio ya wachaga peke yao
Nimeshangaa! Lakini sijaelewa,... inawezekana?2025 kivipi? Aliahidi kupisha 2023. Lissu achukue fomu ya uenyekiti atuondolee huyu jamaa
Yeah aliahidi kustaafu uenyekiti 2023 nashangaa anajiandaa kugombea urais. Hata hizi ziara zinambrand yeye kuliko chadema. This guy atupishe awe mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ila sio active politics. We need changes mtu kama Lissu, Heche, au Golugwa awe mwenyekiti.Nimeshangaa! Lakini sijaelewa,... inawezekana?
Utachafuliwa suruali yako dogo..kwa jinsi Ccm wanavyotupeleka kuna hatari ya kutokea machafuko ya Gen-Z.
Utachafuliwa suruali yako dogo
Machafuko ya Kinyeo chako
Nasikia siku za hivi karibuni akinywa konyagi anshindwa kuzuia mkojoAnatabia ya kunywa konyagi nyinyi mliokuwa karibu alikuwa katika Hali gani wakati anaongea?
Anajua wazi atakuja na utetezi wanachama na mkutano mkuu wamegoma