kirumbiu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2016
- 640
- 702
Ni mkoa gani unaweza fanana na vijiji vya uchagani Tanzania hii nenda milimani uone maziwa asubuhi na jioni juhudi za watu wamejitambua jamii ya kichaga achana nao kaa nao kwa kuwapenda ila ukiwachukia itakula kwakoLimedanganya wachagga hadi mkoa umekuwa maskini kama mikoa mingine ya Tanzania ,nyie endeleeni tu kumkumbatia soon hata Singida itakuwa afadhali