Pre GE2025 Mbowe: Nitajiuzulu siasa 2025 endapo CCM itashinda angalau kiti kimoja tu cha jimbo mkoani Kilimanjaro

Pre GE2025 Mbowe: Nitajiuzulu siasa 2025 endapo CCM itashinda angalau kiti kimoja tu cha jimbo mkoani Kilimanjaro

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe anaongoza maiti kila analosema wapo kimya tu!
Acha dharau kipara unadhani wewe unaijua ccm kuliko walioko chama mbadala wanajitambua hawapendi kuwa chawa kama wewe bila kucomment kuhusu chadema nadhani familia yako inatengemea kula kwa kuiponda chadema na hasa mbowe kama ni ukada tumekuwepo kwenye chipukizi tangu 1982 lakini tumeona hapana yanatakiwa mabadiliko
 
..kwa jinsi Ccm wanavyotupeleka kuna hatari ya kutokea machafuko ya Gen-Z.
Hili ni swala la muda tu, tena siyo muda mrefu sana kama wataendelea na haya yanayoendelea wakati huu wakishaingia baada ya uchaguzi wa kunyakuwa.

Yaani tuanze ngwe mpya kabisa ya miaka mitano ya huyu 'Chura Kiziwi' katika hali ya uongozi tuliyo ishuhudia katika miaka hii mitatu?
Hiyo Tanzania itakuwa ni ya kipekee kabisa!
 
Hivi kuna mtu ana msikiliza huyo mpuuzi na chupa zake za konyagi na asali
Wewe huta msikiliza lakini mwenzako yuko mbali kisiasa ccm imebaki na hongo za uwongo na vitisho chadema tayari kimeshakomaa kwa uhimara wa kamanda shujaa mwenye busara na hekima ya hali ya juu pia haongeki
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Freeman Mbowe ametangaza kujiuzulu kufanya siasa endapo Chama cha Mapinduzi (CCM) kitashinda angalau kiti kimoja tu cha jimbo ndani ya mkoa wa Kilimanjaro wenye majimbo tisa (9) ya uchaguzi.

Mbowe ametangaza ahadi hiyo Julai 05.2024 wakati akizungumza na wakazi wa Maore, wilayani Same, mkoa wa Kilimanjaro kwenye muendelezo wa mikutano ya hadhara ya chama hicho inayolenga kufikia mikoa yote ya kanda ya Kaskazini ikiwa ni muendelezo wa 'oparesheni +255 Katiba mpya' ambapo amesema msingi wa kuweka ahadi hiyo ni kutokana na ukweli kwamba mkoa wa Kilimanjaro na kanda ya Kaskazini kwa ujumla wake CHADEMA imekuwa nguzo imara mara zote.

Ametolea mfano uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ambapo CHADEMA chini ya mwavuli wa UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) uliohusisha vyama vingine vitatu (3) wakati huo vya CUF, NCCR Mageuzi na NLD, vyama vya upinzani vilishinda majimbo saba (7) kati ya tisa (9) ya mkoa wa Kilimanjaro.

Ametaja majimbo yaliyochukuliwa na upinzania kuwa ni pamoja na Same Mashariki, Rombo, Vunjo, Moshi vijijini, Moshi mjini, Hai na Siha, huku CCM ikiambulia majimbo ya Mwanga na Same pekee, hivyo kutoa wito kwa wakazi wa Same na mkoa wa Kilimanjaro kwa ujumla wake kujipanga sawasawa ili kurejesha heshima hiyo kwa kuhakikisha wanashinda sehemu zote kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu (2024) na uchaguzi mkuu mwakani (2025)

Kuhusu mkoa wa Arusha, Mbowe ameeleza kuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 CHADEMA iliibuka kidedea kwenye majimbo sita (6) kati ya saba (7) yaliyoko mkoani humo, ambapo CCM iliambulia jimbo moja (1) pekee ambalo ni la Ngorongoro, jambo ambalo amedai kuwa haoni dalili ya CCM kushinda tena kwenye jimbo hilo kwa kuwa wakazi wa Ngorongoro wameahidi kuipigia kura CHADEMA kutokana na kile alichodai kuwa shukrani ya chama tawala (CCM) na serikali yake baada ya kuchaguliwa ni kuwahamisha watu wa jamii ya Masai kutoka kwenye eneo lao la asili na kuwapeleka Msomera, wilayani Handeni, mkoani TangaAidha, kwa upande wa mkoa wa Tanga.

Mbowe amebainisha kuwa mkoa huo umekuwa ngome ya CCM kwa miaka mingi kwani katika majimbo 12 ya uchaguzi yaliyopo mkoani humo CCM ilikuwa inashinda majimbo yote, hata hivyo amedai kuwa kufuatia mikutano 72 aliyoifanya hivi karibuni kwenye mkoa huo tathmini ya CHADEMA inaonyesha kuwa majimbo pekee ambayo CCM inaweza kushinda ni matano (5) tu huku CHADEMA ikiwa na uhakika wa 'kunyakua' majimbo yote yaliyosalia ambayo ni saba (7).

Mbowe ametoa wito kwa wakazi wa Same, mkoa wa Kilimanjaro na kanda ya Kaskazini kwa ujumla wake kuhakikisha wanashinda chaguzi zote zijazo, yaani kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji baadaye mwaka huu (2024) na uchaguzi mkuu mwakani (2025) kuanzia kwenye viti vya Madiwani ili waweze kuunda Halmashauri, Wabunge na hatimaye nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kile alichodai kuwa chama hicho kinaenda kuunda serikali baada ya uchaguzi mkuu wa mwakani (2025).

View attachment 3034975
Kuna mwezako hulu alisema akihamia ccm tuchome nyumba yake Leo yupo ccm
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Freeman Mbowe ametangaza kujiuzulu kufanya siasa endapo Chama cha Mapinduzi (CCM) kitashinda angalau kiti kimoja tu cha jimbo ndani ya mkoa wa Kilimanjaro wenye majimbo tisa (9) ya uchaguzi.

Mbowe ametangaza ahadi hiyo Julai 05.2024 wakati akizungumza na wakazi wa Maore, wilayani Same, mkoa wa Kilimanjaro kwenye muendelezo wa mikutano ya hadhara ya chama hicho inayolenga kufikia mikoa yote ya kanda ya Kaskazini ikiwa ni muendelezo wa 'oparesheni +255 Katiba mpya' ambapo amesema msingi wa kuweka ahadi hiyo ni kutokana na ukweli kwamba mkoa wa Kilimanjaro na kanda ya Kaskazini kwa ujumla wake CHADEMA imekuwa nguzo imara mara zote.

Ametolea mfano uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ambapo CHADEMA chini ya mwavuli wa UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) uliohusisha vyama vingine vitatu (3) wakati huo vya CUF, NCCR Mageuzi na NLD, vyama vya upinzani vilishinda majimbo saba (7) kati ya tisa (9) ya mkoa wa Kilimanjaro.

Ametaja majimbo yaliyochukuliwa na upinzania kuwa ni pamoja na Same Mashariki, Rombo, Vunjo, Moshi vijijini, Moshi mjini, Hai na Siha, huku CCM ikiambulia majimbo ya Mwanga na Same pekee, hivyo kutoa wito kwa wakazi wa Same na mkoa wa Kilimanjaro kwa ujumla wake kujipanga sawasawa ili kurejesha heshima hiyo kwa kuhakikisha wanashinda sehemu zote kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu (2024) na uchaguzi mkuu mwakani (2025)

Kuhusu mkoa wa Arusha, Mbowe ameeleza kuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 CHADEMA iliibuka kidedea kwenye majimbo sita (6) kati ya saba (7) yaliyoko mkoani humo, ambapo CCM iliambulia jimbo moja (1) pekee ambalo ni la Ngorongoro, jambo ambalo amedai kuwa haoni dalili ya CCM kushinda tena kwenye jimbo hilo kwa kuwa wakazi wa Ngorongoro wameahidi kuipigia kura CHADEMA kutokana na kile alichodai kuwa shukrani ya chama tawala (CCM) na serikali yake baada ya kuchaguliwa ni kuwahamisha watu wa jamii ya Masai kutoka kwenye eneo lao la asili na kuwapeleka Msomera, wilayani Handeni, mkoani TangaAidha, kwa upande wa mkoa wa Tanga.

Mbowe amebainisha kuwa mkoa huo umekuwa ngome ya CCM kwa miaka mingi kwani katika majimbo 12 ya uchaguzi yaliyopo mkoani humo CCM ilikuwa inashinda majimbo yote, hata hivyo amedai kuwa kufuatia mikutano 72 aliyoifanya hivi karibuni kwenye mkoa huo tathmini ya CHADEMA inaonyesha kuwa majimbo pekee ambayo CCM inaweza kushinda ni matano (5) tu huku CHADEMA ikiwa na uhakika wa 'kunyakua' majimbo yote yaliyosalia ambayo ni saba (7).

Mbowe ametoa wito kwa wakazi wa Same, mkoa wa Kilimanjaro na kanda ya Kaskazini kwa ujumla wake kuhakikisha wanashinda chaguzi zote zijazo, yaani kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji baadaye mwaka huu (2024) na uchaguzi mkuu mwakani (2025) kuanzia kwenye viti vya Madiwani ili waweze kuunda Halmashauri, Wabunge na hatimaye nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kile alichodai kuwa chama hicho kinaenda kuunda serikali baada ya uchaguzi mkuu wa mwakani (2025).

View attachment 3034975
Timu ya Tathmini ishafanya kazi yake, ni kweli ccm haitoboi
 
Mkuu sitaki ban ila matusi ninayo ya kutosha
Bado mtoto mdogo kifupi mimi siogopi kutukaniwa mama,baba,mke na watoto ukiniambia naliwa haitokuwa na maana kifupi ikipendeza tukutane uwanjani tuzipige live matusi ni silaha ya muoga na mtu mpumbavu!
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Freeman Mbowe ametangaza kujiuzulu kufanya siasa endapo Chama cha Mapinduzi (CCM) kitashinda angalau kiti kimoja tu cha jimbo ndani ya mkoa wa Kilimanjaro wenye majimbo tisa (9) ya uchaguzi.

Mbowe ametangaza ahadi hiyo Julai 05.2024 wakati akizungumza na wakazi wa Maore, wilayani Same, mkoa wa Kilimanjaro kwenye muendelezo wa mikutano ya hadhara ya chama hicho inayolenga kufikia mikoa yote ya kanda ya Kaskazini ikiwa ni muendelezo wa 'oparesheni +255 Katiba mpya' ambapo amesema msingi wa kuweka ahadi hiyo ni kutokana na ukweli kwamba mkoa wa Kilimanjaro na kanda ya Kaskazini kwa ujumla wake CHADEMA imekuwa nguzo imara mara zote.

Ametolea mfano uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ambapo CHADEMA chini ya mwavuli wa UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) uliohusisha vyama vingine vitatu (3) wakati huo vya CUF, NCCR Mageuzi na NLD, vyama vya upinzani vilishinda majimbo saba (7) kati ya tisa (9) ya mkoa wa Kilimanjaro.

Ametaja majimbo yaliyochukuliwa na upinzania kuwa ni pamoja na Same Mashariki, Rombo, Vunjo, Moshi vijijini, Moshi mjini, Hai na Siha, huku CCM ikiambulia majimbo ya Mwanga na Same pekee, hivyo kutoa wito kwa wakazi wa Same na mkoa wa Kilimanjaro kwa ujumla wake kujipanga sawasawa ili kurejesha heshima hiyo kwa kuhakikisha wanashinda sehemu zote kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu (2024) na uchaguzi mkuu mwakani (2025)

Kuhusu mkoa wa Arusha, Mbowe ameeleza kuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 CHADEMA iliibuka kidedea kwenye majimbo sita (6) kati ya saba (7) yaliyoko mkoani humo, ambapo CCM iliambulia jimbo moja (1) pekee ambalo ni la Ngorongoro, jambo ambalo amedai kuwa haoni dalili ya CCM kushinda tena kwenye jimbo hilo kwa kuwa wakazi wa Ngorongoro wameahidi kuipigia kura CHADEMA kutokana na kile alichodai kuwa shukrani ya chama tawala (CCM) na serikali yake baada ya kuchaguliwa ni kuwahamisha watu wa jamii ya Masai kutoka kwenye eneo lao la asili na kuwapeleka Msomera, wilayani Handeni, mkoani TangaAidha, kwa upande wa mkoa wa Tanga.

Mbowe amebainisha kuwa mkoa huo umekuwa ngome ya CCM kwa miaka mingi kwani katika majimbo 12 ya uchaguzi yaliyopo mkoani humo CCM ilikuwa inashinda majimbo yote, hata hivyo amedai kuwa kufuatia mikutano 72 aliyoifanya hivi karibuni kwenye mkoa huo tathmini ya CHADEMA inaonyesha kuwa majimbo pekee ambayo CCM inaweza kushinda ni matano (5) tu huku CHADEMA ikiwa na uhakika wa 'kunyakua' majimbo yote yaliyosalia ambayo ni saba (7).

Mbowe ametoa wito kwa wakazi wa Same, mkoa wa Kilimanjaro na kanda ya Kaskazini kwa ujumla wake kuhakikisha wanashinda chaguzi zote zijazo, yaani kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji baadaye mwaka huu (2024) na uchaguzi mkuu mwakani (2025) kuanzia kwenye viti vya Madiwani ili waweze kuunda Halmashauri, Wabunge na hatimaye nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kile alichodai kuwa chama hicho kinaenda kuunda serikali baada ya uchaguzi mkuu wa mwakani (2025).

View attachment 3034975
Mbowe ni kamanda asyechoka.
 
Bado mtoto mdogo kifupi mimi siogopi kutukaniwa mama,baba,mke na watoto ukiniambia naliwa haitokuwa na maana kifupi ikipendeza tukutane uwanjani tuzipige live matusi ni silaha ya muoga na mtu mpumbavu!
Mh
 
Kilimanjaro ukiweka gunzi na ccm wanachagua gunzi.
Ndio maana hata kibaha tu inakusanya mapato kushinda mkoa wote kilimanjaro ,nyie endeleeni tu kuwa misukule ya mzee mbowe ,down the road miaka mingine ishirini Kilimanjaro itakuwa ndio Kigoma ya Tanzania
 
Back
Top Bottom