Mbowe pamoja na kuchangisha pesa mikakati iwe kuchukua dola 2025. CCM haikubaliki kabisa maana kwa mwaka mmoja tu imepoteza nguvu

Mbowe pamoja na kuchangisha pesa mikakati iwe kuchukua dola 2025. CCM haikubaliki kabisa maana kwa mwaka mmoja tu imepoteza nguvu

Hoja....

CCM haikumfia mh.Kikwete.....

Tuliipambania kuendelea kutamalaki kama ambavyo itatamalaki baada ya awamu ya 6....umesikia wewe KAMANDA maslahi ?!!!!
Acha Chadema tujipange alafunuone. Kilichotokea 2015 hakitarudia.
 
Wewe ni CCM mnafiki....nakujua vyema tu...

Wewe ni CCM "zugazuga" unayetamalaki humu JF kwa ajili ya UTAWALA WA AWAMU YA 5....umeshakwisha wewe juha....CCM ipo tu fulafula wewe.... itaendelea kuwepo hata baada ya awamu ya 10 sakala wewe.....

#Siempre CCM[emoji120]
Aisee wewe utakuwa mke wa pili wa dume fulani. Una maneno ya shombo sana. Au ni mwana taarabu wa Uswahilini? Zugezuge kweli.
 
Back
Top Bottom