Hili nilianza kuliona mapema.
Mbowe akirudi ikulu nitaanza kupoteza imani nae, hekima yake iliyopitiliza sasa inatumiwa vibaya na CCM na serikali yake.
Ameshaonesha nia nzuri alikuwa nayo, na utayari wa mazungumzo alikuwa nao, bahati mbaya wenzake ikulu hawako tayari, sasa aachane nao.
Wasituzuge na sauti laini na vilemba, awaachie watanzania sio wajinga wataamua, ukweli wanauona.