Mbowe, Rais Samia atakugombanisha wewe na Wanachama, Wafuasi na viongozi wenzako wa CHADEMA

Mchezo uliisha kitambo ,hta mpige kelele watu walishamaliza kazi kitambo
 
Naiona hatari hii mbele ya Mbowe , anapaswa kuamua kuwavna Samia au kuwa na Chadema
Sijui kwa nini Mbowe ameamua kuzishusha mvi zake kaburini kwa fedheha huu eti kuwaridhisha CCM! Au hizi safari za siri lile jicho limemchengua?
 
kaonekana tena chamwino
 
Vp umeshapoteza imani nae

Tujifunze kuupa muda nafasi ili tuione kwel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…