chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Mchezo uliisha kitambo ,hta mpige kelele watu walishamaliza kazi kitambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwa nini Mbowe ameamua kuzishusha mvi zake kaburini kwa fedheha huu eti kuwaridhisha CCM! Au hizi safari za siri lile jicho limemchengua?Naiona hatari hii mbele ya Mbowe , anapaswa kuamua kuwavna Samia au kuwa na Chadema
kaonekana tena chamwinoHili nilianza kuliona mapema.
Mbowe akirudi ikulu nitaanza kupoteza imani nae, hekima yake iliyopitiliza sasa inatumiwa vibaya na CCM na serikali yake.
Ameshaonesha nia nzuri alikuwa nayo, na utayari wa mazungumzo alikuwa nao, bahati mbaya wenzake ikulu hawako tayari, sasa aachane nao.
Wasituzuge na sauti laini na vilemba, awaachie watanzania sio wajinga wataamua, ukweli wanauona.
Vp umeshapoteza imani naeHili nilianza kuliona mapema.
Mbowe akirudi ikulu nitaanza kupoteza imani nae, hekima yake iliyopitiliza sasa inatumiwa vibaya na CCM na serikali yake.
Ameshaonesha nia nzuri alikuwa nayo, na utayari wa mazungumzo alikuwa nao, bahati mbaya wenzake ikulu hawako tayari, sasa aachane nao.
Wasituzuge na sauti laini na vilemba, awaachie watanzania sio wajinga wataamua, ukweli wanauona.
Anayekihujumu chama CHADEMA ni Freema Aikael Mbowe.