Pre GE2025 Mbowe siyo mwanademokrasia, kwanini amesusa kuwakabidhi ofisi Lissu na Heche?

Pre GE2025 Mbowe siyo mwanademokrasia, kwanini amesusa kuwakabidhi ofisi Lissu na Heche?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.

Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.

Mbowe siyo mwanademekrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.

Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.

Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Chama chini ya lisu kuna inteligencia ya kutosha yeyote atakayejaribu kukiharibu chama atachukuliwa hatua kabla hajajaribu ujinga wake.

Kuhusu ntobi na yerico wala msiwe na wasiwasi tayari tumeshawacontain hizo kelele wanazopiga mitandaoni ni maumivu tu bado wanaugulia
 
Chama chini ya lisu kuna inteligencia ya kutosha yeyote atakayejaribu kukiharibu chama atachukuliwa hatua kabla hajajaribu ujinga wake.

Kuhusu ntobi na yerico wala msiwe na wasiwasi tayari tumeshawacontain hizo kelele wanazopiga mitandaoni ni maumivu tu bado wanaugulia
Intelligencia tena? Mbona hawakujua kwamba polisi watazuia press conference yao?
 
Kwa kweli kwa matusi yale hata mimi nisingeenda. Maana Mbowe aliambiwa mpaka watu wanaotekwa yeye ndio anawauza kama alivyouza chama kwa Mama Abdul. So sad!
Na timu yake ya akina Ntobi baada tu ya Lissu kutangaza kugombea uenyekiti matusi na kejeli hadi kufukuzwa uongozi, au hukuona?
 
Na alikuwa anahubiri kuponya majeraha ya uchaguzi iwapo angechaguliwa!

Ajabu yeye anaficha jeraha lake baada ya kushindwa!

Mbowe hakuwahi kuipenda CDM,ni vile tu ilikuwa inamnufaisha kiuchumi.
 
Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.

Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.

Mbowe siyo mwanademekrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.

Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.

Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Shughili nyingi za chama zilikua zinafadhiliwa na Mbowe kwa kukikopesha chama, ameona dalili hatalipwa bora ajisevie kabisa muanze alifu kwa ujiti.
 
Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.

Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.

Mbowe siyo mwanademekrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.

Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.

Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Ilitosha kumkabidhi madaraka ofisi ni mbwebwe zisizo na lazima!
 
Na timu yake ya akina Ntobi baada tu ya Lissu kutangaza kugombea uenyekiti matusi na kejeli hadi kufukuzwa uongozi, au hukuona?
Hao ni wapambe, ila kwa mtu anayeenda kuongoza chama ilikuwa ni damage kubwa sana anafanya. Kamuumiza vibaya Aikaeli.
 
Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.

Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.

Mbowe siyo mwanademekrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.

Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.

Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Mambo ya CHADEMA wewe umeyatoa wapi, kwamba unaipenda sana Chadema? Pemda chama chako hiki waachie wenyewe!
 
Lusungo Fundi Mchundo Retired Quinine Ngongo mwambieni Mbowe akabidhi Ofisi na mali za chama kwa Mwenyekiti mpya.
Umemsikiliza Katibu Mkuu wa Chama? Mwenyekiti wa Chadema sio Mwenyekiti Mtendaji kwa hiyo hana kitu cha kukabidhi. Hata angekuwepo, KM ndie angemkaribisha Mwenyekiti mpya kwenye ofisi zake.

Kumbe mko humu lakini hamsikilizi hotuba za viongozi wenu?

Amandla...
 
Mbowe tuko nae huku chanika kwenye mazishi ya mama mzazi wa mchungaji wa Azania front
 
Back
Top Bottom