Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,159
- 1,274
Yule baba ana mdomo mchafu akikuchafua uwezi baki salama.Ila kuvumulia mitusi ya Lissu inataka moyo😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule baba ana mdomo mchafu akikuchafua uwezi baki salama.Ila kuvumulia mitusi ya Lissu inataka moyo😀😀😀😀
Shida ni mdomo!! Au uchafu wa wachafu?Yule baba ana mdomo mchafu akikuchafua uwezi baki salama.
Chama chini ya lisu kuna inteligencia ya kutosha yeyote atakayejaribu kukiharibu chama atachukuliwa hatua kabla hajajaribu ujinga wake.Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.
Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.
Mbowe siyo mwanademekrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.
Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.
Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Mbona unatanguliza hilo? the unexpected, kama yuko ICU Muhimbili? Do not speculate until you speculateKwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.
Pesa zake mwenyewe akuachieni nyinyi. Lissu aliambiwa achangie milioni 30 akasema hakuna sheria hio. Kwa hivyo hakuna sheria ya kubakisha pesa zake kwa chamaLusungo Fundi Mchundo Retired Quinine Ngongo mwambieni Mbowe akabidhi Ofisi na mali za chama kwa Mwenyekiti mpya.
Intelligencia tena? Mbona hawakujua kwamba polisi watazuia press conference yao?Chama chini ya lisu kuna inteligencia ya kutosha yeyote atakayejaribu kukiharibu chama atachukuliwa hatua kabla hajajaribu ujinga wake.
Kuhusu ntobi na yerico wala msiwe na wasiwasi tayari tumeshawacontain hizo kelele wanazopiga mitandaoni ni maumivu tu bado wanaugulia
Na timu yake ya akina Ntobi baada tu ya Lissu kutangaza kugombea uenyekiti matusi na kejeli hadi kufukuzwa uongozi, au hukuona?Kwa kweli kwa matusi yale hata mimi nisingeenda. Maana Mbowe aliambiwa mpaka watu wanaotekwa yeye ndio anawauza kama alivyouza chama kwa Mama Abdul. So sad!
Shughili nyingi za chama zilikua zinafadhiliwa na Mbowe kwa kukikopesha chama, ameona dalili hatalipwa bora ajisevie kabisa muanze alifu kwa ujiti.Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.
Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.
Mbowe siyo mwanademekrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.
Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.
Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
hayanihusu, I am no longer a follower of any party...... huwezi kuwa na kiongozi anachafua wenzake halafu mwenye akili nim support...Lusungo Fundi Mchundo Retired Quinine Ngongo mwambieni Mbowe akabidhi Ofisi na mali za chama kwa Mwenyekiti mpya.
Tuambie hayo matusi? Au wewe mmachame bado mna uchungu wa kuporwa SACCOS yenu?Ila kuvumulia mitusi ya Lissu inataka moyo😀😀😀😀
shallow analysis! Inamnufaisha kwa vipi? weka ushahidi au nawewe unakuwa kama mropokaji LisuMbowe hakuwahi kuipenda CDM,ni vile tu ilikuwa inamnufaisha kiuchumi.
Ilitosha kumkabidhi madaraka ofisi ni mbwebwe zisizo na lazima!Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.
Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.
Mbowe siyo mwanademekrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.
Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.
Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Hao ni wapambe, ila kwa mtu anayeenda kuongoza chama ilikuwa ni damage kubwa sana anafanya. Kamuumiza vibaya Aikaeli.Na timu yake ya akina Ntobi baada tu ya Lissu kutangaza kugombea uenyekiti matusi na kejeli hadi kufukuzwa uongozi, au hukuona?
Mambo ya CHADEMA wewe umeyatoa wapi, kwamba unaipenda sana Chadema? Pemda chama chako hiki waachie wenyewe!Katika hali ya kushangaza, Mbowe hajatokea kabisa leo Katika tukio la kitaifa la kumkabidhi ofisi Lissu.
Kwa hali ilivyo ni kama uongozi uliopita umekomba kila shumuni kutoka kwenye akaunti ya chama kabla ya kubwaga manyanga.
Mbowe siyo mwanademekrasia kabisa, mnaomsifu mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu.
Uongozi mpya unatakiwa kuwa makini sana wale wote wanaopanga kuhujumu na kukwamisha chama waondolewe kwenye chama haraka sana kabla hawajapata muda wa kukivuruga chama.
Umma una matumaini makubwa sana na uongozi wa Lissu kuelekea kuiondoa CCM madarakani 2025.
Umemsikiliza Katibu Mkuu wa Chama? Mwenyekiti wa Chadema sio Mwenyekiti Mtendaji kwa hiyo hana kitu cha kukabidhi. Hata angekuwepo, KM ndie angemkaribisha Mwenyekiti mpya kwenye ofisi zake.Lusungo Fundi Mchundo Retired Quinine Ngongo mwambieni Mbowe akabidhi Ofisi na mali za chama kwa Mwenyekiti mpya.