Mbowe: Tozo ya benki, wafanyakazi wanakatwa kodi mara mbili, wanaotoza kodi wanaenda kununulia V8 ya milioni 450 au milioni 500

Baadae atampigia mama simu amwambie asimuelewe vibaya, ameamua kujitokeza ili kuwazubaisha na kuwahadaa wadanganyika, baada ya malalamiko mengi juu ya ukimya wake.
Wewe unafanya nini? AU ni Usalama?
 
Dj yupo sahihi kabisa.
 
True and big up sana magari ya kifahari kila Kona malipo ya kufanya kazi za ziada kuanzia saa tisa na nusu Hadi saa kumi na mbili na nusu au zaidi kidogo posho ya siku hiyo sh laki mbili na nusu wakati nchi hii Kuna watu bado wanalipwa mshahara wa sh laki moja kwa mwezi huko sekta binafsi kweli yasemwe tu. Na wanaoteseka na tozo si wafanyakazi tu Hadi wastaafu na wengine wote piga chini Madelu hatufai
 
Tusifanye maandamano kuwa ndio hitaji letu tukumbuke kuwa maandamano ni moja tu ya njia ya kuonesha hisia zetu hivyo mimi naamini zipo njia zengine pia za kuonesha hisia zetu tusijifunge na maandamano tu.
Kama njia zipi hizo? Embu orodhesha hizo njia ambazo zimefanikiwa mbali na maandamano?
 
Kweli kabisa kamanda umenens vema.sisi kutwa kulalamika no action.mtu mmoja ananunuliwa gari ya thamani ya 450ml.unfair kwa kweli.
 
Mtu anayetaabika halafu halalamiki wala kudai haki yake inafaa akejeliwe ili akili imkae sawa. Kwasabb hawa hawa wananchi wanaoumia ndiyo uchaguzi ukifika unakuta akili zinafubazwa na ubwabwa, kanga na kofia
😅😅😅
 
Ni kujitolea after si lazima. Kuna mkataba aliingia na wabongo kuwa atawatetea milele?
Ili apate madaraka kiongozi yoyote au chama chochote lazima kitumie matatizo ya wananchi kama njia ya kuingia madarakani tofauti na hapo huwezi kupata madaraka kea maana hiyo Mbowe hapo ajitolei anafanya kama sehemu ya siasa yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…