Mbowe: Tozo ya benki, wafanyakazi wanakatwa kodi mara mbili, wanaotoza kodi wanaenda kununulia V8 ya milioni 450 au milioni 500

Mbowe: Tozo ya benki, wafanyakazi wanakatwa kodi mara mbili, wanaotoza kodi wanaenda kununulia V8 ya milioni 450 au milioni 500

..inaelekea una taarifa sahihi za ndani.

..gharama za kununua ma-V8 kila mwaka ni kiasi gani?
Katika magari mengi yanayonunukiwa na Serikali hizo V8 ni kwa viongozi wachache wa ngazi za Juu kuanzia makatibu wakuu, Mawaziri,majaji na wakuu wa Taasisi wengine wote ni magari ya kawaida..

Gharama ya manunuzi na uendeshaji ni zaidi ya bil.554 kwa mwaka na ndio Serikali Ili propose ku cut hii to only 50 bln bado mkawa mnapinga..
 
Ujinga wa kuwa na kiongozi wa siasa asiyekuwa na ushawishi. Watu siyo waoga bali hawakuamini wakipata wakamuamini hata kesho wanaingia Road kudai haki zao.
 
Ipo kampuni Fulani nilifanya KAZI one month, Nikagundua kwamba kuna unyonyaji mkubwa, wafanyakazi hawalipwi stahiki zao, Wanafanya kazi kwenye Mazingira magumu, . And mwajiri haukuwa mtz ni mtasha till now, watu wanakalamika kimya kimya mjuba nikaamua nilianzishe , Nenda Uhamiaji, Vyama vya wafanyakazi ... Nikawapanga watu siku ya tukio hakuna aliyeonekana , uzuri nilikuwa ninao ushahidi wa maandishi na sauti , ikanisaidia , Hawakuoewa stahiki zao na like swala kiliishia pale pale, Mpaka sasa hivi Wanafanya KAZI humo na wanakalamika tuu kila siku.

I went too far nkatafuta namba za wahusika wakuu wapo huko SA fanya Mawasiliano nao nikaadress kila situation wanayopitia wafanyakazi , Kuulizwa wako kimya.. hawatoi ushirikiano..

I decided to halt the operation nkaendelea na hamsini zangu, Ifike Wakati tujitambuame na tutambue ni nini tunapambania , hakuna ugomvi Wala vita , Wala chili Ni kudai haki KWA amani, ..

Ni vigumu kumpambania mtu mnafuki /mjinga/Mwoga asiejua anataka nini leo kesho Na siku za usoni.

Watanzania Tuamke tudai haki .. nasema tena haki
 
Ujinga wa kuwa na kiongozi wa siasa asiyekuwa na ushawishi. Watu siyo waoga hawakuamini wakipata wakamuamini hata kesho wanaingia Road kudai haki zao.

Wakuingia Barabarani Watanzania Hawa Hawa , sisi sisi , mimi na wewe .. ?
 
Kama njia zipi hizo? Embu orodhesha hizo njia ambazo zimefanikiwa mbali na maandamano?
Unaposema niorodheshe njia zilizofanikiwa tofauti na maandamano inakuwa kama vile tumejaribu njia zengine bila mafanikio wakati hakuna chengine tulichofanya zaidi ya kuongea tu humu mitandaoni, tunaweza hata kufanya migomo mbalimbali kuonesha hisia zetu.
 
kwa kuwa kuna pesa ya Wajinga Watanzania
Come again say whaaat?

Wajinga-nyika

wanaamua bila kujali kinachotupata, hatupaswi kuwa waoga
Whaaat?

Waoga waoga

mnapokuwa waoga na hofu, halafu mnalalamika.
Kweli sio kweli?

Waoga waoga

wanaowatoza kodi hiyo wanakwenda kununua V8 ya Shilingi Milioni 450 au 500
Umesema!?

Magari mapya Nchi hii ni mali ya viongozi wa Serikali
Aah! Kumbe?
 
Ipo kampuni Fulani nilifanya KAZI one month, Nikagundua kwamba kuna unyonyaji mkubwa, wafanyakazi hawalipwi stahiki zao, Wanafanya kazi kwenye Mazingira magumu, . And mwajiri haukuwa mtz ni mtasha till now, watu wanakalamika kimya kimya mjuba nikaamua nilianzishe , Nenda Uhamiaji, Vyama vya wafanyakazi ... Nikawapanga watu siku ya tukio hakuna aliyeonekana , uzuri nilikuwa ninao ushahidi wa maandishi na sauti , ikanisaidia , Hawakuoewa stahiki zao na like swala kiliishia pale pale, Mpaka sasa hivi Wanafanya KAZI humo na wanakalamika tuu kila siku.

I went too far nkatafuta namba za wahusika wakuu wapo huko SA fanya Mawasiliano nao nikaadress kila situation wanayopitia wafanyakazi , Kuulizwa wako kimya.. hawatoi ushirikiano..

I decided to halt the operation nkaendelea na hamsini zangu, Ifike Wakati tujitambuame na tutambue ni nini tunapambania , hakuna ugomvi Wala vita , Wala chili Ni kudai haki KWA amani, ..

Ni vigumu kumpambania mtu mnafuki /mjinga/Mwoga asiejua anataka nini leo kesho Na siku za usoni.

Watanzania Tuamke tudai haki .. nasema tena haki
Tatizo la wabongo ni kuendekeza njaa na ofcourse njaa ndio inawafanya wengi kuamka asubuhi na kwenda kutafuta. Kungekuwa na food stamps kama Marekani kwamba watu wanaingia kwenye stores maalumu za kuhudumia kaya maskini na kupewa chakula bure 8O% ya wanaoenda makazini wangekuwa wamelala tu.

Mkiwa watu 15 mnaseti mchakato wa kupambana mgewe haki yenu mmejizatiti utashangaa kwenye ku show up mnakuwa watu watatu. Kiini ukichunguza mtu anaogopa atafukuzwa kazi ati familia inamtegemea kana kwamba nyie wengine hamna familia zinazowategemea.
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole sana.
Hivi ushahidi wa kuwa alikopeshwa hilo gari unao au unaropoka tu???
Jibu hoja acha hasira.

Unajitoa UFAHAMU kwamba wabunge wote chama tawala na upinzani walikopeshwa pesa za kununua magari???

Hujui wote walichukua pesa hizo? Na Si wote walionunua V8, wengine walionunua magari ya kawaida pesa ilobaki wakaingiza Kwa biashara zao na walilipa mikopo hiyo!!!!

Hoja ni kuwa MKULIMA anaehangaika kupata pesa ya kununua mbolea, anaumiza KICHWA wapi atapata pesa ya kumpeleka mtoto Hospitali akiugua, amepata wapi pesa ya kumkopesha Mbunge pesa ya kununua V8,???


Mwananchi anauliza swali ajibiwe, Si Kila muda ni wa kufanya propaganda!!!!!
 
Mbowe alikuwa waziri mkuu KIVULI, Kambi ya upinzani, Kodi zetu zilitumika kumnunulia Kwa mkopo magari hayo hayo.

Mbona hakuyakataa Yeye na Kambi yote ya upinzani??

Anapata wapi uhalali kuhoji magari ya kifahari???

Tunapoandika KATIBA mpya ya wananchi, yapo mambo hata viongozi tunaowashabikia lazima wadhibitiwe.
Kipindi ni kiongozi kambi ya upinzani hakukua na tozo za hovyo hovyo.
 
Jibu hoja acha hasira.

Unajitoa UFAHAMU kwamba wabunge wote chama tawala na upinzani walikopeshwa pesa za kununua magari???

Hujui wote walichukua pesa hizo? Na Si wote walionunua V8, wengine walionunua magari ya kawaida pesa ilobaki wakaingiza Kwa biashara zao na walilipa mikopo hiyo!!!!

Hoja ni kuwa MKULIMA anaehangaika kupata pesa ya kununua mbolea, anaumiza KICHWA wapi atapata pesa ya kumpeleka mtoto Hospitali akiugua, amepata wapi pesa ya kumkopesha Mbunge pesa ya kununua V8,???


Mwananchi anauliza swali ajibiwe, Si Kila muda ni wa kufanya propaganda!!!!!
Mkuu upo sahihi mno ,sema unaojibizana nao wameweka mahaba mbele badala ya rationality ... Wanaongozwa na hisia ..

Namkubali Sana mbowe na wengineo ila KWA Hili lazima alijibie na aombe msamaha ...

Alafu Tufanye yajayo..

Niliqahi uliza Je walokuwa wakipiga kelele KWA sababu Hawalambishwi asali?
Hawapo kwenye mfumo?


Niliambulia matusi na mapovu , Badala ya majibu .

Au Tuseme Tuseme kipindi kile Hali ya huduma za kijamii (elimu,afya,miundombinu,chakula,makazi,makazi ,haki nk) vilikuwa sawa Pamoja na purchasing power ndiyo maana hakuzungumza anayozungumza leo?

Hapana yapasa atolee majibu yeye mwenyewe.. na aombe msamaha .

Narudia tena alafu tufungue ukurasa mpya
 
Tatizo la wabongo ni kuendekeza njaa na ofcourse njaa ndio inawafanya wengi kuamka asubuhi na kwenda kutafuta. Kungekuwa na food stamps kama Marekani kwamba watu wanaingia kwenye stores maalumu za kuhudumia kaya maskini na kupewa chakula bure 8O% ya wanaoenda makazini wangekuwa wamelala tu.

Mkiwa watu 15 mnaseti mchakato wa kupambana mgewe haki yenu mmejizatiti utashangaa kwenye ku show up mnakuwa watu watatu. Kiini ukichunguza mtu anaogopa atafukuzwa kazi ati familia inamtegemea kana kwamba nyie wengine hamna familia zinazowategemea.
Tunakwama Sana mkuu , alafu ukishika hamsini zako wanakumind .. ..

Tutafika tumechoka sana ..

Kila siku huwa nawaza nitawaambia nini wanangu siku wakijitambua na kuniuliza , baba uliyaona ulifanya nini au baba ulichukua hatua Gani Juu ya mambo Fulani ...

Kama wote tukiwa guided by purpose hakika haki itapatikana , Tukiongozwa na Ari na hamasa ya kutengeneza Tanzania bora KWA vizazi vya sasa na baadae Tutasimamia haki , msingi ya utawala bora nk..
Najisikia kuandika Sana na kulalama , Lakini yote haya hayatasaidia .. Ifike Wakati tutoke kwenye mashimo yetu KWA Umoja na mshikamano tumfunge paka Kengele.
 
Mkuu upo sahihi mno ,sema unaojibizana nao wameweka mahaba mbele badala ya rationality ... Wanaongozwa na hisia ..

Namkubali Sana mbowe na wengineo ila KWA Hili lazima alijibie na aombe msamaha ...

Alafu Tufanye yajayo..

Niliqahi uliza Je walokuwa wakipiga kelele KWA sababu Hawalambishwi asali?
Hawapo kwenye mfumo?


Niliambulia matusi na mapovu , Badala ya majibu .

Au Tuseme Tuseme kipindi kile Hali ya huduma za kijamii (elimu,afya,miundombinu,chakula,makazi,makazi ,haki nk) vilikuwa sawa Pamoja na purchasing power ndiyo maana hakuzungumza anayozungumza leo?

Hapana yapasa atolee majibu yeye mwenyewe.. na aombe msamaha .

Narudia tena alafu tufungue ukurasa mpya
Waombe radhi Ili wasamehewe Ili wapate Justification kuyahoji mambo hayo.

KATIBA mpya alosimamia Judge WARIOBA Ina majibu, iliwabana WANASIASA kuhusu maslah Yao yaendane na uwezo wa waajiri wao ambao ni wakulima na wafugaji na wafanyabiashara wa kipato Cha chini ambao ni zaidi ya 80% ya Watanzania wote.

Tuseme KWELI tuwe HURU na tuliponye TAIFA.

Ameeeen.
 
Tunakwama Sana mkuu , alafu ukishika hamsini zako wanakumind .. ..

Tutafika tumechoka sana ..

Kila siku huwa nawaza nitawaambia nini wanangu siku wakijitambua na kuniuliza , baba uliyaona ulifanya nini au baba ulichukua hatua Gani Juu ya mambo Fulani ...

Kama wote tukiwa guided by purpose hakika haki itapatikana , Tukiongozwa na Ari na hamasa ya kutengeneza Tanzania bora KWA vizazi vya sasa na baadae Tutasimamia haki , msingi ya utawala bora nk..
Najisikia kuandika Sana na kulalama , Lakini yote haya hayatasaidia .. Ifike Wakati tutoke kwenye mashimo yetu KWA Umoja na mshikamano tumfunge paka Kengele.
Wanaoendekeza njaa ndio wasaliti. Hakuna change inayokuja bila effort na maumivu. Watu wanataka wa relax wapambaniwe ili wao waje kula ma apple.

Nilibeba gharama za kusimamishwa mwaka mmoja chuo ila waliobakia wanainjoy free internet access, hawabebi viti toka lecture moja kwenda nyingine, mikopo inatolewa timely. Kuna upumbavu mwingi sana umeondolewa.
 
Back
Top Bottom