Mbowe tulikuonya kuhusu kushangilia kifo cha Magufuli ukapuuza

Kwani nani amekuza bodaboda nchini kuna juhudi zozote za kiongozi wa siasa au upepo tu wa maendeleo unavuma duniani na kuwasomba werevu na wajinga?

Kwa hiyo wewe ni mjinga unayesombwa?
 
Yanahusiana vipi Msigwa kuhama chama na Mbowe kushangilia kifo cha Magufuli! Mtu ukiumiza watu siku ukifa watu uliowaumiza lazima watashangilia tu,tuishi vyema hapa duniani tunapita tu.
Hata mtoa mada siku akifa watu wengi tu watashangilia. Kama anabisha aekti kufa kama yule aliyefanya hivyo wakaja ndg wawili tu kwenye msiba. Yeye mwenyewe kuna mtu akifa atashangilia. Unafiki tu
 
Hata mtoa mada siku akifa watu wengi tu watashangilia. Kama anabisha aekti kufa kama yule aliyefanya hivyo wakaja ndg wawili tu kwenye msiba. Yeye mwenyewe kuna mtu akifa atashangilia. Unafiki tu

Na wewe wapo watashangilia?
 
Hata mtoa mada siku akifa watu wengi tu watashangilia. Kama anabisha aekti kufa kama yule aliyefanya hivyo wakaja ndg wawili tu kwenye msiba. Yeye mwenyewe kuna mtu akifa atashangilia. Unafiki tu

Na wewe wapo watashangilia?
 
Huko ccm hakuna aliyeshangilia?
 
January Makamba na Nape pia walishangilia kiko wapi sasa?
 
Ujuzi wa nini mwizi mkubwa wewe? [emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…