Mbowe tulikuonya kuhusu kushangilia kifo cha Magufuli ukapuuza

Msigwa ni watu muhimu. You are kidding me..... Nyanda za Juu wamekataa. Period.
 
CCM bado hamjaamini kwamba CDM mmeshaishindwa? Mwenda kaenda zake bila kuaga akiiacha CDM kila siku inakomba wanachama wapya mitaani.
.Msigwa ni turufu iloyokufa...yaani ni sawa tu kama hao Covid.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimezunguka dunia lakini hapa east africa watanzania tumekaa sana aisee. Sio kwamba sisi ni wavivu ni kwamba hatuna macho ya kuona fursa. Na mfumo wetu wa elimu unazidi kutukandamiza tuwe na akili za kijamaa.
Una hoja nzuri sana hii, tunahitaji kuamka na wakati ni Sasa
 
CCM bado hamjaamini kwamba CDM mmeshaishindwa? Mwenda kaenda zake bila kuaga akiiacha CDM kila siku inakomba wanachama wapya mitaani.
.Msigwa ni turufu iloyokufa...yaani ni sawa tu kama hao Covid.

Yani chama chenye mbunge mmoja ndiyo kimeshinda?
 
Hakuna laana yoyote kwa dikteta mshamba aliyeidharau covid -19 na ikamfyekelea mbali.
 
Nawakumbusha tu chura kiziwi alisha sema yeye n mwendazake ni kitu kimoja
 

Mkuu ww umekua muungwana ndio maana umetumia;

"Mnyonge mnyongeni bali haki yake mpeni"

Ila wachawi na wenye husda za wazi pasi na hiyana wametumia;

"Nabii hakubaliki nyumbani"
 
Walioshangilia kifo cha Magufuli ni CCM wakiongozwa na kinara aliyepo Ikulu sasa hivi. Walisema ''Mungu ameamua ugomvi''.
 
Yanahusiana vipi Msigwa kuhama chama na Mbowe kushangilia kifo cha Magufuli! Mtu ukiumiza watu siku ukifa watu uliowaumiza lazima watashangilia tu,tuishi vyema hapa duniani tunapita tu.
Mwambie ukweli huyu pimbi hajielewi kabisa!
 
Leo alikuwa anaongea kabuku anamsema magufuli kisha anawauliza watu mbona mnanishangaa..yaani hajui kama wanaomsikiliza ni watu wa Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…