KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Mbowe Gaidi lileWewe unajua kati ya Mbowe na wewe nani atatangulia? mjinga wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe Gaidi lileWewe unajua kati ya Mbowe na wewe nani atatangulia? mjinga wewe
Inaenea wapi? Labda chumbani kwenuNdio kwanza Chadema inakomaa na kuenea zaidi.
Kwani kuna mtoto wa Mbowe bodabodaWewe kunakiongozi wa CCM toka familia yako au kunakiongozi wa CCM mwanae anaendesha bodaboda au anasoma shule za kata! Hao akina Nape wapo hapo kwa sababu ya baba zao vinginevyo tungekuwa nao mitaani.
Usishangae ukatangulia wewe, Usipate hata kushuhudia kifo cha huyo buanahata ungetaka kunikataza huwezi, akifa mboye mlevi wa konyagi lazima tunywe konyagi kushangilia kifo chake
Yaani ufiwe wewe na Bwana wako. Laana itutafune cyeLaana inawatafuna
unamchukia mbowe hadi ukienda chooni unawewesekaWatu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali.
Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo hicho! Watanzania wengi waliumizwa sana na kitendo hicho na ilipelekea mwanachama wa chadema wakati huo Lazaro Nyalandu kukihama chama hicho.
Laana bado inaendelea na Chadema imepoteza mvuto kwa wananchi, wameshindwa chaguzi zote za marudio, wameendelea kukimbiwa na wanachama wao muhimu ikiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Peter Msigwa.!
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu anaonekana dhahiri hana maelewano mazuri na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe. Kuna mpasuko na ufa wa kutisha ndani ya Chadema.
Baada ya miaka 3 kupita tunamuuliza Mbowe, Chadema kimepata faida gani kutokana na kushangilia kifo cha Magufuli?
Na bado Laana imetafuna na itaendelea kutafuna.
Mimi sio mchaga.Ila wachaga
tahadhalisha=tahadharisha, mfuasi wa mzilikande unatesekea wapi!? 😂,kama vipi kazikwe pembeni yake Chato 😂😂😂Watu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali.
Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo hicho! Watanzania wengi waliumizwa sana na kitendo hicho na ilipelekea mwanachama wa chadema wakati huo Lazaro Nyalandu kukihama chama hicho.
Laana bado inaendelea na Chadema imepoteza mvuto kwa wananchi, wameshindwa chaguzi zote za marudio, wameendelea kukimbiwa na wanachama wao muhimu ikiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Peter Msigwa.!
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu anaonekana dhahiri hana maelewano mazuri na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe. Kuna mpasuko na ufa wa kutisha ndani ya Chadema.
Baada ya miaka 3 kupita tunamuuliza Mbowe, Chadema kimepata faida gani kutokana na kushangilia kifo cha Magufuli?
Na bado Laana imetafuna na itaendelea kutafuna.
Wafuasi wa "kiongozi wa malaika",malizaneni hukohuko chama cha mambuzi 😂😆,Msigwa tyr mnae na wengine watakuja tatizo nini!?.Mbowe kila wakati,atawaua kwa kihoro 😂😂😂Laana inawatafuna
chama cha kihuni
Huu ni uongo uliokomaa, Mbowe hakuwahi kufanya kitu cha namna hii, na wala, hawezi kufanya kitu cha namna hii. Hekima aliyonayo Mbowe haimruhusu kufanya kitu cha namna hii
Kama chama kinaelekea kusambaratika, tafadhali mnaombwa mumulaumu kwa kutumia sababu zingine na si sababu kama hii uliyoisema hapa wewe. Acheni kuchafua viongozi tafadhali
Inaenea wapi? Labda chumbani kwenu
Chadema imepoteza mvuto kila siku inapambana na marehemu badala idili na matatizo tuliyonayo sasa wenyewe wamekomaa kupoteza legacy ya marehemu, na ndio inayowapotezea imani kwa wananchi coz vitu alivyofanya Magufuli kwa Tanzania ni vikubwa na vimegusa sana watu na vinaonekana sasa kila mkisimama Magufuli, Magufuli utazan mmetumwa
Wafuasi wa "kiongozi wa malaika",malizaneni hukohuko chama cha mambuzi [emoji23][emoji38],Msigwa tyr mnae na wengine watakuja tatizo nini!?.Mbowe kila wakati,atawaua kwa kihoro [emoji23][emoji23][emoji23]
Una haki ya kufanya hivyo.Hata Mbowe akifa tutashangilia amedhulumu sana wenzake
Wananchi sio wajinga ukifanya vitu vya maana vinaonekana, wakitaka legacy ifutike wabomoe kila alichofanya Magufuli na hawawezi kazi yao kuponda tuWananchi wanafaidi safari za Dar - Moro ni saa moja tu kwa sababu ya juhudi binafsi za Magufuli lakini majinga chadema yanajifanya hayaelewi hili na matokeo yake yanapuuzwa na wananchi