Mbowe tulikuonya kuhusu kushangilia kifo cha Magufuli ukapuuza

Ndio kwanza Chadema inakomaa na kuenea zaidi.
Inaenea wapi? Labda chumbani kwenu
Chadema imepoteza mvuto kila siku inapambana na marehemu badala idili na matatizo tuliyonayo sasa wenyewe wamekomaa kupoteza legacy ya marehemu, na ndio inayowapotezea imani kwa wananchi coz vitu alivyofanya Magufuli kwa Tanzania ni vikubwa na vimegusa sana watu na vinaonekana sasa kila mkisimama Magufuli, Magufuli utazan mmetumwa
 
Wewe kunakiongozi wa CCM toka familia yako au kunakiongozi wa CCM mwanae anaendesha bodaboda au anasoma shule za kata! Hao akina Nape wapo hapo kwa sababu ya baba zao vinginevyo tungekuwa nao mitaani.
Kwani kuna mtoto wa Mbowe bodaboda
Hata mimi sipo serikalini but sina ndugu bodaboda
 
unamchukia mbowe hadi ukienda chooni unaweweseka
Kakukosea nini
kama wewe una sababu ya kumchukia mbowe ,why yeye asiwe na sababu ya kumchukia marehemu na kushangilia kifo chake
 
tahadhalisha=tahadharisha, mfuasi wa mzilikande unatesekea wapi!? 😂,kama vipi kazikwe pembeni yake Chato 😂😂😂
 
Mbona humzungumzii babu yako na Bibi Yako wanaoza na kunuka huko makaburini unamzungumzia mume wa Janet alikuwa anakukula!?

Kwa kuwa huwa unaliwa hovyo hapo ufipa unadhani ndiyo tabia ya kila mtu
 

OIgopa Mungu na technolojia, video zipo za mbowe akishangilia
 

Wananchi wanafaidi safari za Dar - Moro ni saa moja tu kwa sababu ya juhudi binafsi za Magufuli lakini majinga chadema yanajifanya hayaelewi hili na matokeo yake yanapuuzwa na wananchi
 
Wafuasi wa "kiongozi wa malaika",malizaneni hukohuko chama cha mambuzi [emoji23][emoji38],Msigwa tyr mnae na wengine watakuja tatizo nini!?.Mbowe kila wakati,atawaua kwa kihoro [emoji23][emoji23][emoji23]

Damu ya chacha wangwe inamlilia
 
Wananchi wanafaidi safari za Dar - Moro ni saa moja tu kwa sababu ya juhudi binafsi za Magufuli lakini majinga chadema yanajifanya hayaelewi hili na matokeo yake yanapuuzwa na wananchi
Wananchi sio wajinga ukifanya vitu vya maana vinaonekana, wakitaka legacy ifutike wabomoe kila alichofanya Magufuli na hawawezi kazi yao kuponda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…