Rigo ofser
Member
- Feb 12, 2022
- 11
- 11
Unaijua utaratibu wa magereza lakini au unaongea as if hayajawah kukukuta hapo sio wameenda umiseta kwamba watoto wa boarding watapewa chakula na wasamalia hapo wako chini ya magereza ko hawapewi chakula bila amri ya magereza
Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa