Rigo ofser
Member
- Feb 12, 2022
- 11
- 11
Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa
I ain't afraid of whatever you faggots try to do to me,
Shoot at me, try to corner me, orderlies try to get at me...
Je, kumpelekea chakula gerezani inaruhusiwa?
Ushawahi sikia ukienda kusikiliza kesi ya ndugu yako mahakamani unaenda na chakula?Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa
Mbowe kaongea kuwakilisha mahabusu wote Tztatizo hilo liko kwa kina Mbowe pekee wanapokuja mahakamani au ni kwa wafungwa wote?.
Kama Bwana jela ametoa option yakubeba take away wanapokuja mahakamani, shida iko wapi?...
Tunaomba majina ya Mkuu wa gereza la Ukonga na Mkuu wa gereza la Segerea .Katika kesi yake inayoendelea, Freeman Mbowe ameieleza mahakama kuhusu kunyimwa haki ya kupata mlo wa mchana wanapohudhuria mahakamani, kitendo ambacho kimefanyika kwa miezi mitano mpaka sasa...
Kwann hawakukataa pale pale?.Huyu jamaa anatuona watanzania wote Ni malofa Kama anavyowaona wafuasi wake.Five months bila maji na chakula ni kitu ambacho hakiwezekanj.
Kama kawaida yake hapo Napo anatafuta huruma ya wafuasi wake,this time hakika amepatikana,anabidi awe mpole
Kwa sababu jaji ameona hili ni muhm ndo maana wameenda kutafuta suluhutatizo hilo liko kwa kina Mbowe pekee wanapokuja mahakamani au ni kwa wafungwa wote?.
Kama Bwana jela ametoa option yakubeba take away wanapokuja mahakamani, shida iko wapi?...
Hasara anayopata yeye na nchi kwenye hili, serikali inapoteza zaidi kwenye hii kesi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Wafuasi wake wanataka aendelee kukaa ili awe MANDELA. NB Jela/Mahabusu hakuna uhuru anaotaka yeye.
Loo umekasirika kweli kweli, uliambiawa wakila watu wengine basi watuhumiwa nao wanaruhusiwa kula? Hebu kuwa binadamu basi angalau kwa dakika moja. Hapa siasa hazipo ni haki ya binadamu. Siasa zitakutoa kwenye utu wako inaonakana upo tayari kuua kwesababu za kisiasa hatari kweli kweli,Bwana Single Window.Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa
Hivi mtu kama yuko rumande, jukumu la chakula, malazi na matibabu (kama akiumwa) ni la nani, chama/familia au gerezani anakoshikiliwa?Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa