Mlaaniwe vyombo vya usalama pamoja na familia zenu kwa kuwaonea watanzania wenzenu huku nyie mkishindilia na kubughia ugali wa bure at taxpayers and donors expenses
Akili pendwa ya ccm hii. Soma tafakari elewa ndiyo uchangie. Una ujinga mwingi sana sababu ya Mapooza ya kiakili uliyo nayo.Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa
Huyu jamaa anatuona watanzania wote Ni malofa Kama anavyowaona wafuasi wake.Five months bila maji na chakula ni kitu ambacho hakiwezekanj.
Kama kawaida yake hapo Napo anatafuta huruma ya wafuasi wake,this time hakika amepatikana,anabidi awe mpole
Sheria kandamizi na za kikoloni..sheria inakataza kumpelekea chakula mahabusu akiwa mahakamani.
Mbona kama ni drama hii inachezwa mchana kweupeKatika kesi yake inayoendelea, Freeman Mbowe ameieleza mahakama kuhusu kunyimwa haki ya kupata mlo wa mchana wanapohudhuria mahakamani, kitendo ambacho kimefanyika kwa miezi mitano mpaka sasa...
Ni kweli ndo maana wakaambiwa wachukue chakula Cha magereza, Sasa kama hawataki kubeba Nani awabebee? Lakini huwa mbowe anaonekana na chupa ya maji sijui kama huwa hayanywi.Akili zako zimechukuliwa na pepo mchafu wa St. Valentine, je hujui ukiwa chini ya ulinzi wa magerrza unakula chakula cha jela tu?
Da chadema wana roho mbaya sana yaani mbwembwe zote zile kuwa Kila siku kunawasamalia wanaleta chakula mahakamani kume wanakul mashabuki tu atuhumiwa hawapewi? Mara walete keki yaani wana zambi sana wakiambiwa wmtoe wanakataa eti mwacheni tu mbwakabisa hawa
Amemaanisha siku wanazohudhuria mahakamani hawapati mlo wa mchana na usiku wala maji, hajasema kwamba wameishi 5 months bila kula, jaribu kupambanua akili yako iwaze vyemaHuyu jamaa anatuona watanzania wote Ni malofa Kama anavyowaona wafuasi wake.Five months bila maji na chakula ni kitu ambacho hakiwezekanj.
Kama kawaida yake hapo Napo anatafuta huruma ya wafuasi wake,this time hakika amepatikana,anabidi awe mpole
Msitufokee mlisema aliyekuwa anawatesa dhalimu kaisha kufa, sasahivi mnakula bata kwenda mbele, Sasa kama mnakula bata kwenda mbele kelele za Nini? maana aliyekuwa anawatesa dhalimu Wakati kaisha kufa? tatizo la upinzani hasa Chadema ni kupambana na Mtu badaa ya kupambana na mfumo,haya Sasa mlipambana na Magufuli, sasahivi yupo! mbona mpaka Sasahivi mnalialia wakati mbaya wenu hayupo? Wapinzani badilikeni anza kupambana na mfumo sio MtuMhe. Mbowe amenyoosha MKONO na kumwaleza Mhe. Jaji kwamba Wana miezi mitano bila kula chakula cha Mchana kwa maana nyingine kauli Hii inaonyesha watuhumiwa hawa wamekuwa wakishinda na kulala bila kula Kwa siku zote wanazoletwa mahakani huku mahakama ikishindwa japo kupitisha mchana bila kula
" Pale mwanzo tuliambiwa kuwa kama chakula tuchukue Kutoka Jela, tutoke nacho Jela tuje nacho Mahakamani, tkitoka hapa tunakutana Magereza Wameshakula tunakwenda kulala na njaa siku zote.. Hawa vijana wanakonda kila Siku hata kusikiliza kesi ni geresha.. Ni hayo tu.."
--
Freeman Mbowe: Mheshimiwa Jaji naomba kuleta Kwenye Mahakama yako kuwa tumekosa haki ya kula chakula mchana kwa Miezi 5, Wakati nyie Mna' break kwenda kula sisi hatupati chakula wala maji kwa miezi Yote 5
Pale mwanzo tuliambiwa kuwa kama chakula tuchukue Kutoka Jela, tutoke nacho Jela tuje nacho Mahakamani, tukitoka hapa tunakutana Magereza Wameshakula tunakwenda kulala na njaa siku zote. Hawa vijana wanakonda kila Siku hata kusikiliza kesi ni geresha.. Ni hayo tu.
Jaji: sasa nyie Kibatala mnatoa uwakilishi gani hapa Mahakamani kama wateja wenu hawali miezi mitano?
Kibatala: Sisi tulifikisha kwa Officer wa Magereza, Suluhu aliyotoa ndiyo hiyo asubuhi watoke na chakula Kutoka Jela Kitu ambacho tulibishana na hatukufikia Muafaka kwa sababu haiwezekani. Nafikiri hata Msajili Wa Mahakama analijua hilo, sitaki kumsemea.
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Kwa Mujibu Wa Jambo lililoletwa naomba Tubreak Kidogo tuweze Kuishauri Vyema Mahakama. Imekuwa ghafla sana.
Jaji: Basi nawaita Mawakili kuwakilisha Watu wote Ofisini Kwangu, Tuweze Kujadili
[emoji23][emoji1787]Huyu jamaa anatuona watanzania wote Ni malofa Kama anavyowaona wafuasi wake.Five months bila maji na chakula ni kitu ambacho hakiwezekanj.
Kama kawaida yake hapo Napo anatafuta huruma ya wafuasi wake,this time hakika amepatikana,anabidi awe mpole
Unaweza usile chakula mchana na ukaishi miaka mingi tu.Huyu jamaa anatuona watanzania wote Ni malofa Kama anavyowaona wafuasi wake.Five months bila maji na chakula ni kitu ambacho hakiwezekanj.
Kama kawaida yake hapo Napo anatafuta huruma ya wafuasi wake,this time hakika amepatikana,anabidi awe mpole
Ebu Soma vizuri, hakuna binadamu anaweza kukaa zaidi ya siku Saba bila kula. Sasa unasema wamekaa bila kula miezi mitano ??Mkuu hapa nilipo nimepatwa na ganzi, najiuliza ningekua mm miezi yote hiyo ningeweza? Hao jamaa wamepitia ukomandoo, lakini hii ya kukaa miezi mitano bila kula wameshindwa.
Huu ni ushetani kabisa.
Kuna uzi humu wakimsifia kwa kunenepa na kuwa mwenye tabasamu kwa mapochopocho ya magereza.Lakini ana nenepa bwana
Usiwatishe, hawarogeki, Hilo ni duwa la kuku.Tunaomba majina ya Mkuu wa gereza la Ukonga na Mkuu wa gereza la Segerea .
Vyeo walivyonavyo ni vya muda mfupi sana