Mbowe usimwachie Lissu chama kwa utovu huu wa nidhamu, afadhali kifie mikononi mwako maana kilitokana na mikono yako na wananchi wenye nidhamu


Hili grumeti limerushwa wakati mbaya sana. Linaanza kuwababua kwanza kabla ya kulipuka.
Ndio maana siaamini katika hizi siasa za upinzani. Nilichojifunza toka zimeanza, nakishuhudia tena leo. Ni miundombinu ya watu wale wale wanaotuhadaa sisi tusioelewa kinachoendelea.
Ni kuwa sehemu ya kugawana mlo ili maisha yaendelee
 
Takataka
 
Zitto yupo amekunja nne anakula papcon na kuchekelea kwa mbaali.huyu mnyukano aliuona mapema sana
 
Kwani chama ni Mali yake?
 
Samia ni rais makini sana, na si mwehu kama wewe.
 
Ni haki yako kuwa na mawazo hayo. The question is: Are you thinking rationally? Are you a rational thinking member of a society?
 
W
Aya wasiopenda mbowe na chadema nawaona mpo
 
Brother with all due respect natofautiana kabisa na wewe kwenye hili. Ni muda sahihi wa mwamba kupumzika
 
Mungu akusaidie uvuke darasa la upambaff!
 
Aingie Lissu , mbona mnawaza kwamba atapotezwa ,mara atapigwa risasi ,mara CDM itafutwa akiingia Lissu ! Hofu ya nini ? Akileta hoja zake pangueni kwa hoja elezeni akitukana au akienda kinyume na sheria fuateni hatua za kisheria mbona iko wazi ?
Lissu ni mzalendo wa kweli , ndo maana hamtaki apate uongozi maana mnahofu bahati mbaya lakutokea likatokea akachukua nchi 🤣🤣🤣
 
chama si mali ya mtu mmoja acha uchochezi. Samia hawezi kufuta chama kikubwa vile bila sababu maalum
 
Ni haki yako kuwa na mawazo hayo. The question is: Are you thinking rationally? Are you a rational thinking member of a society?

Kabisa. Kwa sasa hakuna reliable opposition party. Na kinachoendelea ni mazingaombwe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…