Hata Bukoba walimzomea kwa sababu za kauli na michango ya janga la tetemeko lakini hatusikii Wanyakyusa na Wahaya wakilialia kama kaskazini. Inabidi waelewe kwamba nchi nzima ina watanzania bila kujali ukanda la sivyo Mbowe anaenda kupunguza wafuasi kwa kuendekeza U-kaskazini.Siyo Kilimanjaro na Arusha tu,uliza mkoa wa mbeya na walimzomea wakati wa kampeni,basi tu.
Ndo shida hiyo maana yake wasukuma waliwatesa wachaga.Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Ni ukweli wala hajakosea, mwendazake alitamka wazi kabisa.Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Hapa namzungumzia Mbowe kutaka kuaminisha watu kuwa Magufuli alitesa watu wa huko! Huo ni ujinga wa hali ya juu!Ni ukweli wala hajakosea, mwendazake alitamka wazi kabisa.
Tena akaenda mbali zaidi na kuwavunjia nyumba zao kimare na mbezi huku akisema kule kisesa wasivunjiwe(wasukuma wenzake)
Yule jamaa alikuwa na roho kama koboko,
Anachomeka tu huko aliko
Uko sahihi watanzania inabidi tuambiane ukweli wachaga waliendekeza sana ukabila na ukanda ndio maana Mungu alimleta Magufu asaidie kuupiga stop kwa manufaa ya nchiHata Bukoba walimzomea kwa sababu za kauli na michango ya janga la tetemeko lakini hatusikii Wanyakyusa na Wahaya wakilialia kama kaskazini. Inabidi waelewe kwamba nchi nzima ina watanzania bila kujali ukanda la sivyo Mbowe anaenda kupunguza wafuasi kwa kuendekeza U-kaskazini.
Mkuu wachaga hawategemei hisani, wanajituma na wapata mafanikio,Masharti hayo kwamba lazima amtukane na kumponda Magu lkn swali ni kwamba after all said and done chadema na Wachaga watapata nini kutoka kwa hii Serikali ya Samia? Mnafikiri Samia atawakabidhi power ? Sana sana mnatumiwa kama kiatu ili utawala wake uende smooth msimsumbue baada ya hapo hatowajua na hakuna kitu mtamfanya, kiatu kinatumiwa kikichakaa kinatupwa hakuna anayejumbuka kwamba kilimsaidia asichomwe na jua au miba, na ndivyo chadema na Wachaga watakachofanyiwa kama kiatu …
Tutajie kabila gani wanategemea hisana na kabila gani hawana mafanikio? Acha kurukia mambo Mbowe lazima aambiwe ukweli! Hatendi haki kukazania jambo hilo mda wote!Mkuu wachaga hawategemei hisani, wanajituma na wapata mafanikio,
Yule mwehu alikua anachukua hela zao huko mabenki, na operation zote kuanzia uvunjaji nyumba hadi maduka ya fedha na hata benk kama Akiba commecial walinyanganywa fedha nk
Mbowe anatumia tactic ya kikoloni (enzi na enzi) ya "divide and rule", ndipo upeo wake wa kufikiri ulipoishia.Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Kujituma wapi vyeti Feki walioachishwa kazi serikalini na taasisi zake asilimia kubwa wachaga kapitie list asilimia kubwa wachaga.Mtumia cheti feki ana uwezo gani?Mkuu wachaga hawategemei hisani, wanajituma na wapata mafanikio,
Mama Samia kwa upendo kamwita Ikulu! Jana anasema hataki marithiano mpaka wanachokitaka wao kifanyiwe kaz! Hawajui kuwa demokrasia nilazima kuwa na uwezo wa kumsikiliza mwenzako!Mbowe anatumia tactic ya kikoloni (enzi na enzi) ya "divide and rule", ndipo upeo wake wa kufikiri ulipoishia.
Si kweli Mbowe na watu wake wa huko Arusha na kilimanjaro ndio waasisi wa ukabila na ukandaAliyeziasisi ni jpm. Ungeanza kumchukia yeye kwanza
Mkuu wachaga hawategemei hisani, wanajituma na wapata mafanikio,
Yule mwehu alikua anachukua hela zao huko mabenki, na operation zote kuanzia uvunjaji nyumba hadi maduka ya fedha na hata benk kama Akiba commecial walinyanganywa fedha nk
Kama kayatamka hayo ukaenda utamwangusha. Kushindwa ubunge ni kuteswa!!Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Kumbuka wakati jpm ananadi sera zake msukuma alipanda jukwaani na kuongea kisuma kwama "tumpe kura mtu wa kwetu msuma mwenzetu na akawatisha na wangine kuwa watashughulikiwa kwa vikao maalumu watakaosaliti mwana wa kwaoSi kweli Mbowe na watu wake wa huko Arusha na kilimanjaro ndio waasisi wa ukabila na ukanda
Endelea kuota..hicho chama hata Nyerere alikuwa akikifadhili.
..kilikuwa mkono wa Tanu ktk siasa za Uchaggani.
Mjinga sana mbowe anatuletea ukabila hapaHii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!
Hii kauli ya Kiongozi huyu amekuwa akiirudia rudia sana naona kama haina afya kwa taifa!
Inabidi asamehe asonge mbele maisha ndo yalivyo! Yeye anaona utawala wa Magufuli uliwatesa lakini kuna watu hawaoni hivo!
Inabidi aondokane na hizi chembechembe za ubaguzi yeye kwanza!