- Thread starter
- #181
Wale ni matapeli walitapeliana wakataka Magufuli awalipe tena! Waende mahakamani kama wanayo haki mama Samia si yupo! Ila kwa vile hawana haki hutona mtu anapeleka miguu yake ya supoku mahakamani!
Sasa ndugu yangu Ile barabara ingepanuliwaje? You guys are so selfish, kwamba watanzania ni Bora tuwe na barabara ya sentimita mbili ili kuwanufaisha nyie?