Mbowe: Vijana wa chama changu wana mihemko, Hivi mnajua maana ya kuingia barabarani?

Mbowe: Vijana wa chama changu wana mihemko, Hivi mnajua maana ya kuingia barabarani?

Unajua kwa nini uwa sikujibugi? Wanaume dizain yako uwa nawadharau nawaona ni takataka 🚮
Ingia barabarani,hunijibu na umejibu? 😆😆

Kinyeo mkubwa ,katenge sasa hilo kopo lako kwa Mbowe tayari keshawananga huko na Kwa kuwa ni maskini hamna cha kumfanya ndio mwenyew chama na pesa.
 
View attachment 2250605

Kamanda Mbowe amekuwa na hulka tofauti sana tangu aanze safari za ikulu.

Anawapa makavu vijana wanaojifanya wana uchungu na chama chake.

Je, nini kimembadilisha?

Ni muda ndio utasema.
Katika wanasiasa wa Tanzania makini Mbowe ni mmoja wao ni mtu makini sana.
 
Akiwa club house amesema kwamba mara nyingi anaambiwa na vijana wake waingie barabarani kudai katiba mpya na yeye huwajibu hivi mnajuwa maana ya barabarani? Vijana hukaa kimya na kushupaza shingo zao wapo ambao tayari wameanza kusema kwa sasa anamegewa kiduchu keki ya taifa ndiyo maaana ameamua kukaa kimya wengine wanasema jela amejifunza mambo mengi sana hasa kutii mamlaka za nchi.

Hata hivyo yeye mwenyewe ameshawambia vijana wake waache kutukana vyama hasimu kwani kufanya hivo hawatopata ushawishi wowote ndani ya jamii.

Mbowe ameamua kutokuwa karai kila siku kubebeshwa zigo la katiba huku wengine wakitoa matamko kupitia vyombo vya habari na media kwa ujumla kaamua kukaa kimya maisha yaendelee.
 
Ivi join the chain iko wapi [emoji23][emoji23]ndomana nimeamua kuwa mwanaharakati huru nipambane mwenyewe kutafuta Katiba mpya
 
Akiwa club house amesema kwamba mara nyingi anaambiwa na vijana wake waingie barabarani kudai katiba mpya na yeye huwajibu hivi mnajuwa maana ya barabarani? Vijana hukaa kimya na kushupaza shingo zao wapo ambao tayari wameanza kusema kwa sasa anamegewa kiduchu keki ya taifa ndiyo maaana ameamua kukaa kimya wengine wanasema jela amejifunza mambo mengi sana hasa kutii mamlaka za nchi.

Hata hivyo yeye mwenyewe ameshawambia vijana wake waache kutukana vyama hasimu kwani kufanya hivo hawatopata ushawishi wowote ndani ya jamii.

Mbowe ameamua kutokuwa karai kila siku kubebeshwa zigo la katiba huku wengine wakitoa matamko kupitia vyombo vya habari na media kwa ujumla kaamua kukaa kimya maisha yaendelee.
Hivi hiyo Club house ulikuwa mwenyewe?

Amandla...
 
Mbowe peleka pipa ikulu ukajipakulie asali, mpaka miaka buku sioni mbongo wa kuingia road, na kweli hawajui maana ya kuingia barabarani, mbongo huingia barabarani kupitia keyboards za simu na sio live.
 
Sasa hivi ruksa
JamiiForums-1068019049.jpg
 
Mbowe ameona aachane na siasa za kijiinga unawapigania watu ambao hawajui wanataka nini. kama kweli hao wanaojifanya wanauchungu ili kuwa na katiba mpya wangetakiwa wafanye protest ya maana kipindi mwenyekiti wao yupo ndani, lakini nini kilitokea wote walikuwa mute. Sasa you can not demand change of constitution by demostration with people who are unready to demostrate wapo wanalalamika kwenye smartphone hawataki kuwa front better you change the course of action and adopt another one maybe it may bear fruits.
 
[mention]Erythrocyte [/mention] ndio mfuate maelekezo ya mwenyekiti na alishawaagiza msitutukane mitandaoni naona bado hamjabadilika
 
Back
Top Bottom