Mbowe: Vijana wa chama changu wana mihemko, Hivi mnajua maana ya kuingia barabarani?

Mbowe: Vijana wa chama changu wana mihemko, Hivi mnajua maana ya kuingia barabarani?

Bwashe mbona hizi response zenu ni kama ya mtu mmoja isipokuwa IDs tofauti? Au mmekalishwa mahali mnaelekezwa cha kupost? Chawa wa Mwendazeke mnahangaika sana against SSH na Mbowe.
Legacy ndiyo hivyo tena, nayo imeshaingia kwenye futi sita.. mtajibeba mwaka Huu, nendeni mkamtoe Jambazi Sabaya gerezani achaneni na JF
Historia itamkumbuka Ole Sabaya kwa kumstaafisha Mbowe ubunge
 
Mbowe sasa amekomaa. Anataka kufanya siasa na si uwanaharakati. Ukisoma mitandaoni vijana wa CHADEMA wengi ni wanafanya harakati badala ya siasa.

Si wavumilivu, wana mshambulia kila wanaye dhani yuko kinyume na mtazamo wao. Wanasusia fursa ambazo kama wangezitumia zingesaidia kutuvusha.

Hivi karibu nimejufunza kwamba, wanaharakati hawaitakii mema hii nchi. Hawapendi kuona siasa za kistaraabu. Wao wanapenda kuona kukiwa na mizozo na mitafuruku kila kukicha..nadhani ndo wanafaidika kwa namna moja ama nyingine. Wanaogopa kwamba mambo yakiwa vyema watakosa relevancy na hivyo matumbo yao kiwa hatarini.

Mbowe amepitia mengi, amejifunza mengi na amekomaa.
Kama hujui maana ya harakati nyamaza.
Harakati ni dhambi? Siasa ni nini na harakati ni nini? Au haujui harakati ni aina ya siasa pia?

Kama hujui harakati ni siasa inayobase kwenye fact na misinamo. Mara nyingi hufikia hatua hiyo kama wanachokisema kinapuuzwa.

Wewe siasa ni ipi na harakati ni ipi?
Kama hujui harakati ni kitu kizuri na wewe pia unafanya harakati kila siku ujiangalie upya.
 
Hakuna kiongozi anayetamani vita, wote hua wakali na kutishia ili wachukuliwe wapo serious mkifika kwenye meza ya mazungumzo.

Ukiwahakikishia interests zao hazitaguswa wote hutulia.

Nimeparaphrase huu usemi kutoka kwenye filamu inaitwa 'Immortals'
 
Hadi Kawa Rais alipambana na wengi tuu, kwenye nafasi ya VP aliwashisha wale favourite kapitia mlango wa uani hadi Kawa Rais..

Na 2025 atashinda vilevile..Mbowe na Chadema kubadili muelekeo kumhusu ni ushindi tosha.
Labda nikukumbushe mama alibebwa kwa issue ya Uzanzibari tu. Top five iliyoingia kwenye kinyang'anyiro cha uraisi yote ilikuwa bara kasoro yytu. Magu,Asha, January,Benard katika hesabu za haraka na kuzingatia muungano unadhani makamu angekuwa nani hapo!!
 
Labda nikukumbushe mama alibebwa kwa issue ya Uzanzibari tu. Top five iliyoingia kwenye kinyang'anyiro cha uraisi yote ilikuwa bara kasoro yytu. Magu,Asha, January,Benard katika hesabu za haraka na kuzingatia muungano unadhani makamu angekuwa nani hapo!!
Hiyo hiyo sifa ndio imefanyaje kuwa Rais,kwani mzanzibari alikuwa yeye tuu? Mbona Mwinyi alikuwepo kwa Nini hakubebwa? 😬😬😬😬
 
A.k.A wasaka tonge mm belgiji mweusi nae alinunuliwa na kikwete.Huyu nae kaenda mjengoni kavuta bilioni 6 tangu hapo ni kuwachana makavu vibaka wa chadema wanaojiita bwacha sijui bavicha??halafu anawafukuza kina halima mdee wakati huo huo anataka ateue wapya yaani huyu chadema ukiangalia kwa ufupi wanasiasa ni wafanta biashara na mtaji wao ni wewee bouyer unaeingia road.
 
It is an irresistible end of an era for him and like other elders he wants clear and promised future not only for him but his generation. He knows his party can no longer compete with his abstantia.
 
Back
Top Bottom