The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ingia barabarani,hunijibu na umejibu? ๐๐Unajua kwa nini uwa sikujibugi? Wanaume dizain yako uwa nawadharau nawaona ni takataka ๐ฎ
Harafu takataka ambazo Hata mia hazina eti zinataka afanye siasa za kisenge ..Kweli. Fikiria Mbowe alivyokaa jela bila access ya simu.....yuko na mabiashara yake kibao hajui yanaendaje......alivyotoka lazima awe mpole
Ukitaka kuwaweza Chadema penyeza rupia labda kutoa Slaa.By Yusufu Makamba, Chadema imewekwa mfukoni na Samia ๐คฃ๐คฃ๐คฃView attachment 2250605
Kamanda Mbowe amekuwa na hulka tofauti sana tangu aanze safari za ikulu.
Anawapa makavu vijana wanaojifanya wana uchungu na chama chake.
Je, nini kimembadilisha?
Ni muda ndio utasema.
Mda sio mrefu utasikia anaitisha maandamano ya kumpongeza Mama,na nyumbu wanashangiaria, upinzani wa bongo unazidiwa na Unganda achiria mbali KenyaMbowe anaupiga mwingi
Kituo kinachofuata: 'Mbowe ateuliwa kuwa mbunge'View attachment 2250605
Kamanda Mbowe amekuwa na hulka tofauti sana tangu aanze safari za ikulu.
Anawapa makavu vijana wanaojifanya wana uchungu na chama chake.
Je, nini kimembadilisha?
Ni muda ndio utasema.
Ameshalamba asaliMbowe umekuwaje tena?
Katika wanasiasa wa Tanzania makini Mbowe ni mmoja wao ni mtu makini sana.View attachment 2250605
Kamanda Mbowe amekuwa na hulka tofauti sana tangu aanze safari za ikulu.
Anawapa makavu vijana wanaojifanya wana uchungu na chama chake.
Je, nini kimembadilisha?
Ni muda ndio utasema.
Kwani aliwahi pambana na nani?Mbona Sugu kamualika madam President hamjaleta nongwa?
Samia anasema katika history yake hajawahi shindana na mtu yeyote akashindwa โจ๏ธโจ๏ธ
Hivi hiyo Club house ulikuwa mwenyewe?Akiwa club house amesema kwamba mara nyingi anaambiwa na vijana wake waingie barabarani kudai katiba mpya na yeye huwajibu hivi mnajuwa maana ya barabarani? Vijana hukaa kimya na kushupaza shingo zao wapo ambao tayari wameanza kusema kwa sasa anamegewa kiduchu keki ya taifa ndiyo maaana ameamua kukaa kimya wengine wanasema jela amejifunza mambo mengi sana hasa kutii mamlaka za nchi.
Hata hivyo yeye mwenyewe ameshawambia vijana wake waache kutukana vyama hasimu kwani kufanya hivo hawatopata ushawishi wowote ndani ya jamii.
Mbowe ameamua kutokuwa karai kila siku kubebeshwa zigo la katiba huku wengine wakitoa matamko kupitia vyombo vya habari na media kwa ujumla kaamua kukaa kimya maisha yaendelee.
Ni vyema ungekuwa unasikiliza source kuliko hizi hearsay.Ivi join the chain iko wapi [emoji23][emoji23]ndomana nimeamua kuwa mwanaharakati huru nipambane mwenyewe kutafuta Katiba mpya
Leo umemtolea uvivuUnajua kwa nini uwa sikujibugi? Wanaume dizain yako uwa nawadharau nawaona ni takataka [emoji706]
Pesa sabuni ya roho somo.Mama Samia kwa hii movement yake nimempa nyota zote kafanikiwa kuwa kamata