Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Hana...Maneno kila mtu anaweza kuongea. Muulize how kwa mujibu wa mkataba akupe na vifungu kama atakuwa na jibu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Shikilia hapo hapo Mbowe, maana toka lile pigo moja kuna mipanya buku zaidi ya laki imetoka kwenye shimo ikikimbia hovyo hovyo huku ikiweweseka
Ni jana nadhani nimeona kawateua washauri wake wengine. Nadhani kaona aliingizwa Chaka na washauri wake waliopitaHayo mamikopo ya mama yenu Kila siku...
Waarabu wamemzidi akili.....
Wamefanya butter trade system ya kibabe....kiuchumi...ya kuupora uchumi wa Tanganyika....!
Uchumi wa Tanganyika sasa mfukoni mwa ka-Emirate ka Dubai. Dah!
Hivi nani mshauri wa huyu mama aisee! Inauma saana!
Yaan hii nchi bana kazi sanaKwahiyo billion 2.9 ni Bora kuliko bandari?
Tatizo wewe ni mvivu usiyetaka kujishughulisha, unataka uwekewe kila kitu hapa, huo mkataba upo huku, utafute ukiuona uje kutu-prove wrong tunaosema mkataba ni mbovu.Hadi saivi unapiga tu maneno matupu badala ya kuweka hivyo vipengele vinavyoonesha tumepoteza our sovereignty. Sasa kati ya mimi na wewe nani anapaswa kutolewa lugha mbovu?
Mimi sio kilaza kama wewe eti niamini tu maneno matupu wanayosema watu bila uthibitisho na maelezo ya uhakika
Usahihi wa uzushi?!!!Mbowe yupo sahihi.
Zito ni dalaliMbowe anajitahidi
Zitto Kabwe anatamka 50/50
Mimi sipo nje nipo Shelui, usilete ujinga hapa.Tanzania haipangiwi cha kufanya....
Hili jambo la uwekezaji wa DP WORLD linapingwa na wadau kutoka nje....sijui kwa MASLAHI gani aliyoahidiwa mh.Mbowe.....hwenda hizo bilioni 2 ni kichele kuliko apatazo huko kwa "guru" wake.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kama haya ndio maoni yako. Kwenye hili sakata.....basi tuna kizazi cha hovyo sana!!! kisichojitambua...Kwa comment hii inaonyesha hujui chochote kuhusu huo mkataba..
one thing we should know is that, Tanzania is a sovereign country, its not a personal company of a particular persons. so everything that we do should treat it as a country not a personal property.Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,
"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.
Toa Maoni yako.
=======
View attachment 2657284
Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,
"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.
Toa Maoni yako.
=======
View attachment 2657284
Sikiliza ufafanuzi na vifungu hapa...Maneno kila mtu anaweza kuongea. Muulize how kwa mujibu wa mkataba akupe na vifungu kama atakuwa na jibu
Nchi inaendeshwa na remote control.....simlaumu sana.....maana yuko hapo coincidence tu!....Ni jana nadhani nimeona kawateua washauri wake wengine. Nadhani kaona aliingizwa Chaka na washauri wake waliopita
Ngoja akina GUSSIE, Lord denning Faizafoxy waje....!!!Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,
"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.
Toa Maoni yako.
=======
View attachment 2657284
Nenda msitu wa Shakahola🤣🤣MBOWE, tunatafuta msitu tu, kuikomboa nchi yetu
Ujinga uko kichwani mwako kwa kutotaka kuelewa uzuri wa mkataba huu...Ni mkataba wa kijinga sn