Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Mama akubali kwenye hili aliteleza, sijui alilishwa urojo wa namna gani hadi akajikuta anasaini huo mkataba wa kishenzi namna hii.

Kwa hili Mama kapuyanga mno na ni doa tayari katika uongozi.
Hakuna popote mwanamke akawa kiongozi pakawa vizuri
 
Safi akili zimemrudi, akindekeza maridhiano na ccm chadema itakosa ushawishi
Hivi walitegemea kuridhiana na CCM halafu wapewe dola thubutu. Hao ukiridhiana nao unakuwa CCM (B, C or D) huko. Lissu alishtukia mchezo kuwa chadema ilikuwa imewekwa kwenye pochi zamani sana.
 
Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,

"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.

Toa Maoni yako.

=======

View attachment 2657284
Dah.. sa tufanyeje!?😳😳😳
 
Hadi saivi unapiga tu maneno matupu badala ya kuweka hivyo vipengele vinavyoonesha tumepoteza our sovereignty. Sasa kati ya mimi na wewe nani anapaswa kutolewa lugha mbovu?

Mimi sio kilaza kama wewe eti niamini tu maneno matupu wanayosema watu bila uthibitisho na maelezo ya uhakika

Kwani wewe ni kiziwi? Mkataba ulisomwa pale bungeni pia. Hata kama pengine una shida na uwezo wa kusoma, ulishindwa hata kusikia?

Machache tu yaliyopo kwenye mkataba:

1. Serikali italazimika kuwapa DP eneo lolote la ardhi watakalolihitaji kwa shughuli za bandari.

2. Ukomo wa mkataba ni wakati shughuli zilizoridheshwa kwenye mkataba zitakapokoma. Maana yake hakuna ukomo.

3. Kuuvunja mkataba ni mpaka pande zote zikubaliane, na hakuna mahali imeelezwa mambo gani yakifanyika au yasipofanyika, mkataba utalazimika kuvunjwa.

4. Serikali itahakikisha mkataba hauathiriki hata kama sheria za nchi au serikali vitabadilika.

5. Serikali italazimika kutoa unafuu wa kodi kwa shughuli zinazofanywa na DP. Hii maana yake tubadilishe sheria zetu za kodi kwa sababu ya DP.

6. Hukumu ya disputes itafanyika na mahakama ya South Afrika kwa kutumia sheria za UK, wakati sheria zetu za nchi zinasema disputes zote zinazohusiana na rasilimali zetu zitaamliwa na mahakama za ndani kwa kutumia sheria za nchini mwetu. Kwa hiyo tutalazimika kubadilisha sheria hiyo kama wanavyotaka hawa waarabu. Hii ina maana sasa ni DP ndio wenye maamuzi juu ya sheria zetu ziwe namna gani ili zifuate matakwa yao DP. Huko ni kupoteza mamlaka ya nchi kama Taifa huru kwenye maamuzi yake.

7. Hakuna sehemu ambayo mkataba unatamka uwekezaji wa DP ni kiasi gani mpaka kufikia ku-dilute uwekezaji uliofanywa na Tanzania kuwa zero percent. Inawezekana vipi, bandari ambayo nchi imewekeza mabilioni ya pesa, halafu nchi iwe na umiliki wa zero percent? Huu si upumbavu wa hali ya juu na wa pekee?

Kanuni ya umiliki wa miradi, ili wewe uwe na 90% ni lazima uwekezaji wako uwe mara tisa zaidi ya uwekezaji wangu. Huwezi kutoka ulikotoka na upumbavu wako, mahali mimi nimewekeza trillioni 10, wewe unakuja na vibilioni 700, halafu unasema kwamba wewe utakuwa na umiliki wa 100%. Halafu mimi niseme ni sawa. Ndiyo maana tunasema bunge hilo lililoridhia limejaa mijitu mijinga, punguani wa akili na maarifa, iliyojaa uwendawazimu ambao haujawahi kuonekana mahali popote Duniani.
 
Machache tu yaliyopo kwenye mkataba:

1. Serikali italazimika kuwapa DP eneo lolote la ardhi watakalolihitaji kwa shughuli za bandari.

2. Ukomo wa mkataba ni wakati shughuli zilizoridheshwa kwenye mkataba zitakapokoma. Maana yake hakuna ukomo.

3. Kuuvunja mkataba ni mpaka pande zote zikubaliane, na hakuna mahali imeelezwa mambo gani yakifanyika au yasipofanyika, mkataba utalazimika kuvunjwa.

4. Serikali itahakikisha mkataba hauathiriki hata kama sheria za nchi au serikali vitabadilika.

5. Serikali italazimika kutoa unafuu wa kodi kwa shughuli zinazofanywa na DP. Hii maana yake tubadilishe sheria zetu za kodi kwa sababu ya DP.

6. Hukumu ya disputes itafanyika na mahakama ya South Afrika kwa kutumia sheria za UK, wakati sheria zetu za nchi zinasema disputes zote zinazohusiana na rasilimali zetu zitaamliwa na mahakama za ndani kwa kutumia sheria za nchini mwetu. Kwa hiyo tutalazimika kubadilisha sheria hiyo kama wanavyotaka hawa waarabu. Hii ina maana sasa ni DP ndio wenye maamuzi juu ya sheria zetu ziwe namna gani ili zifuate matakwa yao DP. Huko ni kupoteza mamlaka ya nchi kama Taifa huru kwenye maamuzi yake.

7. Hakuna sehemu ambayo mkataba unatamka uwekezaji wa DP ni kiasi gani mpaka kufikia ku-dilute uwekezaji uliofanywa na Tanzania kuwa zero percent. Inawezekana vipi, bandari ambayo nchi imewekeza mabilioni ya pesa, halafu nchi iwe na umiliki wa zero percent? Huu si upumbavu wa hali ya juu na wa pekee?

Kanuni ya umiliki wa miradi, ili wewe uwe na 90% ni lazima uwekezaji wako uwe mara tisa zaidi ya uwekezaji wangu. Huwezi kutoka ulikotoka na upumbavu wako, mahali mimi nimewekeza trillioni 10, wewe unakuja na vibilioni 700, halafu unasema kwamba wewe utakuwa na umiliki wa 100%. Halafu mimi niseme ni sawa. Ndiyo maana tunasema bunge hilo lililoridhia limejaa mijitu mijinga, punguani wa akili na maarifa, iliyojaa uwendawazimu ambao haujawahi kuonekana mahali popote Duniani.
 
Kapewa ubavu na Katiba hii mbovu wewe utafanyaje?

Ninyi mlitaka kuanzisha Umoja Legacy Party ili Plepole awe Raisi sasa yako wapi?

Mwache Samia atuongoze, ulikuwa unamkatia viuno Magufuli wakati anaua Wapinzani leo yako wapi?
Basi endelea kumakatia Samia ili akuuze kwa waarabu ukawakatie pia
 
Watupe ajenda zao za kitaifa hao akina Mbowe, Sio kufanya Siasa za matukio. Leo wapo kwenye Bandari kuuzwa vip km isingekuwa ajenda hii ya Bandari wangeongea nini
Agenda kuu si ni KATIBA MPYA
 
Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,

"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.

Toa Maoni yako.

=======

View attachment 2657284
Maoni yote, nondo na nukta yalishamalizwa na Viongozi wa dining na Dr Slaa. Ni hayo hayo na Mwenyekiti yuko sahihi kwa Hilo.
Ni wajinga na wapumbavu ndio wanaoukubali huo upuuzi.
 
Kwa ushahidi gani mjomba,ebu dadavua zaidi ueleweke vinginevyo itakuwa sweeping allegations tu.
Huu hapa ushahidi...

CDU....

Chama rafiki cha akina Mbowe....

Unajua wazazi wa Mbowe walipata Fedha kwa sababu zipi?!!!

Wajerumani.....

Wakati wa ukoloni mzee Aikaeli aliwapa ramani za maeneo ya raslimali....ni mambo makubwa sana kijana wangu....

Mbowe abadilike.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Huyo mbowe ni failure toka shule, ataelewa wapi kilichomo kwenye mkataba? Anafikiri IGA ni kupiga mziki watu wakatike?

Shule alienda kusomea ujinga.
 
Back
Top Bottom