mbowe ataongea Nini?kwani ni uongo kwamba yeye binafsi anahusika na njama za hao watu wa Chadema ambao wamekuwa wakitekwa, kushambuliwa au kuuawa kutoka kwenye chama hicho?yeye ni mchora ramani Mkuu wa matukio hayo, amekuwa akiwauza wenzake kwa mumiani.The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama unapiga kelele tu.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda uliopewa uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera zako dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Haujakatazwa kuahiriki kumtafutia Kura Lissu.The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama unapiga kelele tu.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda uliopewa uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera zako dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Sera za Mbowe ni zipi Mkuu?The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama unapiga kelele tu.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda uliopewa uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera zako dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Vyote viwili ni sahihi kura na kula.Anatafuta Kula
Sahihi kabisa 😂😂😂
Hujui dunia .The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama unapiga kelele tu.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda uliopewa uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera zako dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Aelezwe Maria Sarungi sio mpiga kura.Yupo bize na akina dr slaa,maria sarungi na Msigwa huko x,wanakipaka matope chama anachoomba kukiongoza
NdioHujui dunia .
Lawama bila ushahidi ni sawa na kelele, kaulizwa anaushahidi gani na hela za Abdul akadai mwenye ushahidi ni marehemu.mbowe ataongea Nini?kwani ni uongo kwamba yeye binafsi anahusika na njama za hao watu wa Chadema ambao wamekuwa wakitekwa, kushambuliwa au kuuawa kutoka kwenye chama hicho?yeye ni mchora ramani Mkuu wa matukio hayo, amekuwa akiwauza wenzake kwa mumiani.
Ushahidi wa mazingira unathibitisha hoja hizi.Lawama bila ushahidi ni sawa na kelele, kaulizwa anaushahidi gani na hela za Abdul akadai mwenye ushahidi ni marehemu.
Ni kweli kabisa.The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Hiyo ni mahakamani ila kumwelewesha mwananchi wa kawaida ni kazi kubwa.Ushahidi wa mazingira unathibitisha hoja hizi.
Nilalame kwani mimi nagombea.Haujakatazwa kuahiriki kumtafutia Kura Lissu.
Unalalama kama mtoto mdogo
Huwezi kupata unachotaka bila kununua na kuuza.Kununua watu ndio kutafuta kura. Hizo si mbinu za CCM kabisa