Pre GE2025 Mbowe yupo kimya anatafuta kura, Lissu yupo bize mitandaoni kukilaumu chama

Pre GE2025 Mbowe yupo kimya anatafuta kura, Lissu yupo bize mitandaoni kukilaumu chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hatoi ushahidi wa kuridhisha? Unauliza anashindwa nini kuwakilisha kwenye vikao? Unajua Lissu kahojiwa na CHADEMA kuhusu hizi tuhuma na karekodiwa kabisa?

Unajua Lissu kawa challenge CHADEMA watoe hiyo video ya alivyohojiwa mpaka sasa uongozi wa Mbowe umekataa?

Haya mambo unayafuatilia kwa karibu au unayarukia tu?
Mwenye ushahidi wa pesa za Abdul ni marehemu.
 
Sasa tunatumia hoja Gani ili kuwalazimisha ccm waondoke cdm ichukue dola kama mbowe hataki ku stepdown
Tutumie mbinu ya Musumbiji? maana ndizo sera za Lissu hataki maridhiano.
 
The difference is clear.

Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.

As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.

Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Wewe ni mjinga ujue
 
mbowe ataongea Nini?kwani ni uongo kwamba yeye binafsi anahusika na njama za hao watu wa Chadema ambao wamekuwa wakitekwa, kushambuliwa au kuuawa kutoka kwenye chama hicho?yeye ni mchora ramani Mkuu wa matukio hayo, amekuwa akiwauza wenzake kwa mumiani.
Unao ushahidi wa jambo hilo.....au na wewe ndio wale tumesikia... 😀 😀
 
The difference is clear.

Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.

As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.

Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
R.I.P Mzee Kibao, Sultan Mbowe ameshindwa hadi kutoa salamu za siku kuu kwa wanachama wake. Akijitokeza tu mitandaoni wanachama wanapiga kwenye kichwa.
 
Kama kuna wanachama wa CHADEMA wanataka kuchallenge uongozi wa Mbowe, kihalali, kwenye uchaguzi wa ndani, kwa nini unawalazimisha waende ACT?

Nilikuwa nawasema vibaya sana wanaharakati wa mitandaoni ambao si wanachama wa CHADEMA waliokuwa wanamkataa Mbowe kwa kusema "Mbowe Must Go". Hoja yangu kubwa ilikuwa kwamba wanaharakati hao hawana uhalali wa kutaka kumuondoa Mbowe kwenye uenyekiti, kwa sababu hawana hata uanachama (majority). Hatujui kama wao ni washabiki wa CHADEMA kweli au ni mapandikizi ya CCM yanayotaka kuivuruga CHADEMA. Mambo ya CHADEMA, waachiwe wanachama halali wa CHADEMA kuamua.

Kauli yangu hii haikuwa endorsement kwa Mbowe. Ilikuwa kanuni ya kwamba watu wasio wanachama hawana kauli kwenye mambo ya chama.

Baada ya Tundu Lissu kuchukua fomu kugombea uenyekiti wa CHADEMA, criticism hii haipo tena. Kwa sababu sasa wanaotaka kumuondoa Mbowe si wanaharakati tu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA naye anataka kumuondoa Mbowe kwenye uenyekiti.

Sasa wewe ni nani umwambie Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu, anayetumia haki yake ya kikatiba ndani ya CHADEMA kugombea uongozi, hana haki ya kuwania uenyekiti?

Unatumia kanuni gani kumkataza Lissu kuwania uenyekiti wa CHADEMA?
Kwanii waliochukua fomu ya kugombea ni Lisu na Mbowe tu........mbona wa tatu ampendi kumuongelea?
 
The difference is clear.

Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.

As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.

Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Acha uchawa kwa ilipofika chadema inahitaji falsafa mpya mbowe hafai
 
Overstaying is not an issue so long as katiba haijavunjwa.
Pumbavu, sasa mnapigania nini huko upinzani? Kama "overstaying is not an issue" kwanini basi CCM isiachwe tu ikaendelea kutawala milele? Ajabu sana, pesa za Abdul zimewatoa akili kabisa.
 
The difference is clear.

Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.

As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.

Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Chawa wa Mbowe mnajidanganya sana,wanachama,washabiki na wapenda mageuzi wote wako upande wa Lissu sasa kama atawahonga hao 1200 watakaopiga kura wakamchagua ajue ndiyo atakuwa ameilekeza Chadema qibla.
 
The difference is clear.

Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.

As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.

Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
dah!
gentleman mbona unasema ukweli mtupu bila woga aise?🐒
 
Pumbavu, sasa mnapigania nini huko upinzani? Kama "overstaying is not an issue" kwanini basi CCM isiachwe tu ikaendelea kutawala milele? Ajabu sana, pesa za Abdul zimewatoa akili kabisa.
CCM inapambana na kushinda.

Hata hao chadema wapambane na mshindi apatikane. Sio kuachiana madaraka kama urithi.
 
CCM inapambana na kushinda.

Hata hao chadema wapambane na mshindi apatikane. Sio kuachiana madaraka kama urithi.
Baada ya miaka 10 ya uongozi wa Kikwete kama Mwenyekiti wa CCM, kwanini hakupambania tena? Acha ujinga
 
Baada ya miaka 10 ya uongozi wa Kikwete kama Mwenyekiti wa CCM, kwanini hakupambania tena? Acha ujinga
CCM uenyekiti unakoma baada ya kumpata rais mpya. Kiitifaki yeye ndiye anakuwa mwenyekiti wa chama. Sasa ulitaka Jakaya aendelee vipi? rais Samia amekuwaje mwenyekiti CCM?

Chadema nafasi ya mwenyekiti inagombewe kila baada ya mika 5. Hata wewe kama ni mwanachama kachukue fomu ugombee.
 
Back
Top Bottom