Pre GE2025 Mbowe yupo kimya anatafuta kura, Lissu yupo bize mitandaoni kukilaumu chama

Pre GE2025 Mbowe yupo kimya anatafuta kura, Lissu yupo bize mitandaoni kukilaumu chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
The difference is clear.

Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.

As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.

Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Sera za FAM ni zipi mkuu?
 
Pumbavu, sasa mnapigania nini huko upinzani? Kama "overstaying is not an issue" kwanini basi CCM isiachwe tu ikaendelea kutawala milele? Ajabu sana, pesa za Abdul zimewatoa akili kabisa.
Tafadhali sana acha matusi kama huwezi kujadili kilichopo sepa.
 
The difference is clear.

Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.

As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.

Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Tuambie sera za mtemi mbowe ni zipi?
 
Tafadhali sana acha matusi kama huwezi kujadili kilichopo sepa.
Hakuna tusi lolote hapo, Upumbavu sio tusi. Mwenyekiti wenu Mkapa alipenda kutumia sana maneno " WAPUMBAVU & MALOFA" kwa watu kama wewe.
 
Sasa wewe ni nani umwambie Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu, anayetumia haki yake ya kikatiba ndani ya CHADEMA kugombea uongozi, hana haki ya kuwania uenyekiti?
Soma vizuri mchango wangu.
Mimi sina tatizo na uchaguzi wa chama chao. Wanachama wanayo haki ya kuchagua yule wanayemtaka.
Ila angalia push imetokea wapi. Hata TAL mwenyewe alishakiri kuwa kuna watu walimshawishi aache umakamu agombee uenyekiti.
Ukichunguza kwa jicho la tatu utagundua waliomshauri agombee uenyekiti ni akina nani.
Itoshe tu kusema kuwa baadhi ya vipngozi na wanachama wa hiko chama chao pia ni wanaharakati (Members wa Sauti ya Watanzania na Change Tanzania). Kwa sababu hiyo lazima uone msuguano wa hao wanachama.
Wapiga kelele namba moja ambao hawataki demokrasia bali wanataka Mbowe asigombee ndio hao Members wa hizo NGO mbili nilizozitaja.
Otherwise ngoja tusubiri muda wa kampeni ili kila mmoja anadi sera zake, maana kama sera ni hizo alizozitoa kupitia hotuba yake wakati anachukua form naziona hazina mashiko maana madiliko yoyote ya kitaasisi yanafanywa kwa makubaliano ya vikao vya pamoja. TAL akiwa mjumbe wa vikao bado anayp nafasi ya kupendekeza mabadiliko, sio lazima awe mwenyekiti ndio afanye mabadiliko. Vinginevyo atakuwa mwenyekiti dikteta asiyejali taratibu za kiuongozi.
 
Soma vizuri mchango wangu.
Mimi sina tatizo na uchaguzi wa chama chao. Wanachama wanayo haki ya kuchagua yule wanayemtaka.
Ila angalia push imetokea wapi. Hata TAL mwenyewe alishakiri kuwa kuna watu walimshawishi aache umakamu agombee uenyekiti.
Ukichunguza kwa jicho la tatu utagundua waliomshauri agombee uenyekiti ni akina nani.
Itoshe tu kusema kuwa baadhi ya vipngozi na wanachama wa hiko chama chao pia ni wanaharakati (Members wa Sauti ya Watanzania na Change Tanzania). Kwa sababu hiyo lazima uone msuguano wa hao wanachama.
Wapiga kelele namba moja ambao hawataki demokrasia bali wanataka Mbowe asigombee ndio hao Members wa hizo NGO mbili nilizozitaja.
Otherwise ngoja tusubiri muda wa kampeni ili kila mmoja anadi sera zake, maana kama sera ni hizo alizozitoa kupitia hotuba yake wakati anachukua form naziona hazina mashiko maana madiliko yoyote ya kitaasisi yanafanywa kwa makubaliano ya vikao vya pamoja. TAL akiwa mjumbe wa vikao bado anayp nafasi ya kupendekeza mabadiliko, sio lazima awe mwenyekiti ndio afanye mabadiliko. Vinginevyo atakuwa mwenyekiti dikteta asiyejali taratibu za kiuongozi.
Hakuna tatizo wanachama wa CHADEMA kuchukua mawazo ya wanaharakati kubadilisha uongozi wa CHADEMA.

Mawazo yakishachukuliwa na wanachama tu, yanapata uhalali wa kikatiba kuuondoa uongozi madarakani. Wanachama ndio wana mandate ya kuukubali au kuukataa uongozi, bila ya kujali mawazo hayo wameyapata wapi.

Kuna tatizo kama wanaharakati wasio wanachama wanataka kuuondoa uongozi madarakani lakini wanachama hawataki.

Huelewi wapi hapo?
 
The difference is clear.

Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.

As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.

Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
1000211802.jpg

Lazima awe kimya sio kwa mjiko huo wa asali kutoka kwa mama
 
Mjumbe gani asiye mfahamu Lissu?..misimamo yake,weledi , lakini ndiye Kiongozi aliyetembea sehemu kubwa ya Tanzania tena sehemu kubwa kwa gharama zake..TULIENI!
 
Soma vizuri mchango wangu.
Mimi sina tatizo na uchaguzi wa chama chao. Wanachama wanayo haki ya kuchagua yule wanayemtaka.
Ila angalia push imetokea wapi. Hata TAL mwenyewe alishakiri kuwa kuna watu walimshawishi aache umakamu agombee uenyekiti.
Ukichunguza kwa jicho la tatu utagundua waliomshauri agombee uenyekiti ni akina nani.
Itoshe tu kusema kuwa baadhi ya vipngozi na wanachama wa hiko chama chao pia ni wanaharakati (Members wa Sauti ya Watanzania na Change Tanzania). Kwa sababu hiyo lazima uone msuguano wa hao wanachama.
Wapiga kelele namba moja ambao hawataki demokrasia bali wanataka Mbowe asigombee ndio hao Members wa hizo NGO mbili nilizozitaja.
Otherwise ngoja tusubiri muda wa kampeni ili kila mmoja anadi sera zake, maana kama sera ni hizo alizozitoa kupitia hotuba yake wakati anachukua form naziona hazina mashiko maana madiliko yoyote ya kitaasisi yanafanywa kwa makubaliano ya vikao vya pamoja. TAL akiwa mjumbe wa vikao bado anayp nafasi ya kupendekeza mabadiliko, sio lazima awe mwenyekiti ndio afanye mabadiliko. Vinginevyo atakuwa mwenyekiti dikteta asiyejali taratibu za kiuongozi.
Akina Msigwa na kikundi chake ndio walimshauri TAL aache kugombea umakamu agombee nafasi ya mwenyekiti.
 
Wanachama ndio wana mandate ya kuukubali au kuukataa uongozi, bila ya kujali mawazo hayo wameyapata wapi.
Sasa kama unakubaliana na maoni yangu kwa nini hao wanagarakati wanataka kuwapangia wajumbe cha kufanya! Tuwaache watekeleze demokrasia kwenye chama chao.
Hii mambo ya kusema Mbowe asigombee ni ukandamizaji wa demokrasia. Natamani kwenye chama chao wajitokeze wengi ili wajumbe wao wawe na option ya kuchagua.
 
Sasa kama unakubaliana na maoni yangu kwa nini hao wanagarakati wanataka kuwapangia wajumbe cha kufanya! Tuwaache watekeleze demokrasia kwenye chama chao.
Hii mambo ya kusema Mbowe asigombee ni ukandamizaji wa demokrasia. Natamani kwenye chama chao wajitokeze wengi ili wajumbe wao wawe na option ya kuchagua.
Wanaharakati huwa wanajiona wao wako sahihi muda wote, kwao demoktasia ni Mbowe aondoke hawana option nyingine.
 
Sasa kama unakubaliana na maoni yangu kwa nini hao wanagarakati wanataka kuwapangia wajumbe cha kufanya! Tuwaache watekeleze demokrasia kwenye chama chao.
Hii mambo ya kusema Mbowe asigombee ni ukandamizaji wa demokrasia. Natamani kwenye chama chao wajitokeze wengi ili wajumbe wao wawe na option ya kuchagua.
Kwa sasa issue si wanaharakati kutaka kuwapangia wajumbe cha kufanya tena.

Issue ya kumuondoa Mbowe kwenye uenyekiti imeshabarikiwa na Makamu Mwenyekiti. Hoja ya kwamba wanaotaka kumuondoa Mwenyekiti Mbowe ni wanaharakati tu haina nguvu tena. Hii hoja ilikuwa na nguvu wakati hakukuwa na mwanachama yeyote wa CHADEMA aliyechukua fomu kugombea uenyekiti. Muda huo hata mimi niliwaambia wanaharakati kuwa hoja ya kumuondoa Mwenyekiti inatakiwa kuwa endorsed na wanachama wa CHADEMA ili iwe na nguvu.

Baada ya Makamu Mwenyekiti kuchukua fomu kugombea Uenyekiti tu, hoja ya kumuondoa Mbowe kwenye Uenyekiti imekuwa ni hoja ya Makamu Mwenyekiti na kundi kubwa la wanachama wa CHADEMA, si ya wanaharakati tu. Kitu anachosema Tundu Lissu wazi hutakiwi kukidogosha kusema ni cha wanaharakati tu.
 
Kwa sasa issue si wanaharakati kutaka kuwapangia wajumbe cha kufanya tena.

Issue ya kumuondoa Mbowe kwenye uenyekiti imeshabarikiwa na Makamu Mwenyekiti. Hoja ya kwamba wanaotaka kumuondoa Mwenyekiti Mbowe ni wanaharakati tu haina nguvu tena. Hii hoja ilikuwa na nguvu wakati hakukuwa na mwanachama yeyote wa CHADEMA aliyechukua fomu kugombea uenyekiti. Muda huo hata mimi niliwaambia wanaharakati kuwa hoja ya kumuondoa Mwenyekiti inatakiwa kuwa endorsed na wanachama wa CHADEMA ili iwe na nguvu.

Baada ya Makamu Mwenyekiti kuchukua fomu kugombea Uenyekiti tu, hoja ya kumuondoa Mbowe kwenye Uenyekiti imekuwa ni hoja ya Makamu Mwenyekiti na kundi kubwa la wanachama wa CHADEMA, si ya wanaharakati tu. Kitu anachosema Tundu Lissu wazi hutakiwi kukidogosha kusema ni cha wanaharakati tu.
Kusema hoja ya kumuondoa Mkiti Imekuwa hoja baada ya Lissu kugombea haina mashiko, kwa hiyo Lissu asingegombea isingekuwa hoja.

Katiba ya Chadema iko wazi hakuna mtu anayekatazwa kugombea uenyekiti hata 2019 kuna wanachama waligombea na Lissu alikuwepo, mbona hatukuwaona wanaharakati wakihangaika kama safari hii.
 
Kusema hoja ya kumuondoa Mkiti Imekuwa hoja baada ya Lissu kugombea haina mashiko, kwa hiyo Lissu asingegombea isingekuwa hoja.

Katiba ya Chadema iko wazi hakuna mtu anayekatazwa kugombea uenyekiti hata 2019 kuna wanachama waligombea na Lissu alikuwepo, mbona hatukuwaona wanaharakati wakihangaika kama safari hii.
Hujaelewa.

Hakuna popote niliposema hoja ya kumuondoa Mbowe imekuwa hoja baada ya Lissu kugombea.

Hii siku zote ilikuwa hoja.

Ila, ilikuwa hoja ambayo ilikuwa haijapata endorsement ya mwanachama wa CHADEMA kugombea Uenyekiti, not necessarily Lissu, mwanachama yeyote wa CHADEMA hakuwa amegombea uenyekiti, hoja ilionekana kwa kiasi kikubwa ni ya wanaharakati tu waliokuwa wanataka kuipangia CHADEMA cha kufanya bila hata ya kuwa wanachama.

Lakini sasa hivi kuna Tundu Lissu kai endorse, si yeye tu, kuna Odero Charles Odero anagombea uenyekiti, kuna mtu anaitwa Mapunda anagombea uenyekiti.

Kuna watu watatu zaidi ya Mbowe wanagombea uenyekiti.

Hawa si wanaharakati tu. Hawa ni wanachama wa CHADEMA.

Tundu Lissu ni Makamu Mwenyekiti.

Hoja imekubaliwa mpaka na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA.

Kwa nini unaidogosha kwa kusema ni hoja ya wanaharakati tu wakati mpaka Makamu Mwenyekiti wa chama kaikubali hoja?
 
Back
Top Bottom