- Thread starter
- #21
Kuhonga ni sehemu ya kupata unachokitaka, hata kumpa lift mtu itatafsiriwa umehonga.Tangu lini Mbowe akatafuta kura?. Yule anahonga tu wajumbe wenye njaa. Ashukuru Abdul anampa pesa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhonga ni sehemu ya kupata unachokitaka, hata kumpa lift mtu itatafsiriwa umehonga.Tangu lini Mbowe akatafuta kura?. Yule anahonga tu wajumbe wenye njaa. Ashukuru Abdul anampa pesa.
Lisu akiwa ndio mwemyekiti wa hiko chama tutegemee maamuzi ya kiutendaji ya chama kutoka kwenye hili kundi la wanaharakati linaloitwa Sauti ya Watanzania kwa kushirikiana na Change Tanzania.The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Kuna uchaguzi wa uenyekiti wa CHADEMA halafu kuna uchaguzi wa mustakabali mwema wa CHADEMA, kwenye uchaguzi huo huo mmoja.The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Angalau wewe umekuja na hoja.Lisu akiwa ndio mwemyekiti wa hiko chama tutegemee maamuzi ya kiutendaji ya chama kutoka kwenye hili kundi la wanaharakati linaloitwa Sauti ya Watanzania kwa kushirikiana na Change Tanzania.
Turejee kwenye sakata la bandari walivyotaka kukitumia chama kupush agenda zao.
Naona wamekwama kwa Mbowe sasa wanatafuta mtu wao atakayekubali kubeba agenda zao.
Kama wanaona chama kitakufa kwa sababu ya Lisu kushindwa uchaguzi basi waende ACT tuone kama watafanikiwa.
The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Kama kuna wanachama wa CHADEMA wanataka kuchallenge uongozi wa Mbowe, kihalali, kwenye uchaguzi wa ndani, kwa nini unawalazimisha waende ACT?Lisu akiwa ndio mwemyekiti wa hiko chama tutegemee maamuzi ya kiutendaji ya chama kutoka kwenye hili kundi la wanaharakati linaloitwa Sauti ya Watanzania kwa kushirikiana na Change Tanzania.
Turejee kwenye sakata la bandari walivyotaka kukitumia chama kupush agenda zao.
Naona wamekwama kwa Mbowe sasa wanatafuta mtu wao atakayekubali kubeba agenda zao.
Kama wanaona chama kitakufa kwa sababu ya Lisu kushindwa uchaguzi basi waende ACT tuone kama watafanikiwa.
Huyu bwana haelewekiLawama bila ushahidi ni sawa na kelele, kaulizwa anaushahidi gani na hela za Abdul akadai mwenye ushahidi ni marehemu.
Nakubaliana kabisa na wewe, lkn style aliyokuja nayo sio ya kiungwana, anapoanza kuwavua nguo atakaokuja kufanyanao kazi hata wajumbe wataogopa kumchagua.Kuna uchaguzi wa uenyekiti wa CHADEMA halafu kuna uchaguzi wa mustakabali mwema wa CHADEMA, kwenye uchaguzi huo huo mmoja.
Tundu Lissu ndiye mwenye mustakabali mwema wa CHADEMA sasa hivi.
Wajumbe wana haki ya kumkataa lakini wakimkataa watakuwa wameukataa mustakabali mwema wa CHADEMA.
Hebu nisaidie sera Za Mbowe zozote?The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Uungwana ndio umemfanya Mbowe ashindwe kuitoa CCM kwa miaka 20, unataka uungwana wa nini?Nakubaliana kabisa na wewe, lkn style aliyokuja nayo sio ya kiungwana, anapoanza kuwavua nguo atakaokuja kufanyanao kazi hata wajumbe wataogopa kumchagua.
Magufuli alikuwa mtendaji mzuri lkn gia aliyoingia nayo ni sawa na gia ya Lissu. Alisikika akisema siku nikiwa Rais watalimia meno, hiyo kauli iliwatisha hadi CCM wenyewe, same to Lissu.
Hivi huoni aibu kumuunga Mbowe mkono? Kabisa na akili zako timamu unamuunga Mbowe mkono dah!The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Mtu aliye overstay anawadanganya wajumbe kwa sera zipi?The difference is clear.
Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele.
As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako tena pasipo na ushahidi.
Wajumbe hawaangalii wingi wa lawama wanaangalia ubora wa sera dhidi ya mpinzani wako ni kwa kiasi gani zitakisaidia chama kuvuka pale kilipo.
Alafu eti Kuna taasisi inaitwa TAKUKURU, Ina badget na na inapewa vifaaTangu lini Mbowe akatafuta kura?. Yule anahonga tu wajumbe wenye njaa. Ashukuru Abdul anampa pesa.
Lissu hakujiandaa kuwa Mkiti, alijiandaa kuwa makamu alikurupuka baada ya kuhisi Wenje atachukua nafasi yake hana mtu wa kufanyanae kazi kama makamu endapo atashinda.Uungwana ndio umemfanya Mbowe ashindwe kuitoa CCM kwa miaka 20, unataka uungwana wa nini?
Lissu kuwavua nguo si issue, issue ni, anayosema ni kweli? Kama tuhuma ni kweli, tatizo ka Tundu Lissu si kuwavua nguo, tatizo la Tundu Lissu ni kutokuwa na mkakati wa kuwaondoa. Tundu Lissu akitakiwa kuwa na mtu anayegombea u Makamu Mwenyekiti ambaye anataka kwenda kufanya naye kazi badala ya Wenje. Kama Lissu hatakuwa na mgombea mbadala, hii itakuwa ni mistake kubwa.
Lissu anasimamia uwazi, haki za binadamu, ugatuzi wa madaraka, utawala wa sheria. Hayo mambo yote Magufuli kayaharibu, utasemaje Lissu anaanza sawa na Magufuli?
Overstaying is not an issue so long as katiba haijavunjwa.Mtu aliye overstay anawadanganya wajumbe kwa sera zipi?
Hata hivyo kwa lissu uenyekiti siyo big deal. Yeye anataka haki na ukweli tu.
Lissu kukosa mtu wa kufanya naye kazi kama makamu mwenyekiti ni mistake.Lissu hakujiandaa kuwa Mkiti, alijiandaa kuwa makamu alikurupuka baada ya kuhisi Wenje atachukua nafasi yake hana mtu wa kufanyanae kazi kama makamu endapo atashinda.
Kupigania haki bila kufuata utaratibu ni fujo ndio maana tuhuma zake zinaonekana ni uzushi hazina tangible facts za uhakika.
Nilimsikia akisema itakuwa disaster kufanya kazi na Wenje how come mtu wa hivyo apewe chama.Lissu kukosa mtu wa kufanya naye kazi kama makamu mwenyekiti ni mistake.
Aliulizwa vipi Wenje akishinda umakamu na yeye Lissu akashinda uenyekiti, akasema itakuwa disaster. Alitumia neno hili disaster.
Unaposema kupigania haki bila kufuata utaratibu unamaanisha nini? Lissu si anagombea uenyekiti wa CHADEMA kwa kutumia katiba ya CHADEMA, kuna utaratibu gani zaidi ya katiba?
Utaratibu ninaosema sio wa kugombea ni tuhuma anazotoa, kwanza hata kama ni kweli hatoi ushahidi wa kuridhisha, pili yeye ni sehemu ya uongozi tena second man anashindwa nini kuziwasilisha kwenye vikao.
Sasa tunatumia hoja Gani ili kuwalazimisha ccm waondoke cdm ichukue dola kama mbowe hataki ku stepdownOverstaying is not an issue so long as katiba haijavunjwa.