4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Hawafanyagi hutafiti, nguvu nyingi inatumika kumjenga SSH , ila ukweli wa Mambo ni KIONGOZI mkuu wa Taifa hili,na Rais wetu ,ila kisiasa Upako kwake unazidi potea KWa speed ya ajabu, hata watu wake wa karibu wanajua hilo nasema mbele ya Mungu wanguMpaka saizi dakika ya 79 Mbowe 4 wao 0.
Nyumbu hovyo kabisa wanataka mbowe atolewe bila kuhukumiwa.Sasa threads nyingi za kumshurutisha rais Samia za nini?,
Mara ooh umoja wa ulaya wanasema blabla
Bi tozo lafa sana yan na yale matege yakeHope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.
Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].
Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.
CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.
Update
Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Yaani Mbowe ampigie magoti Hangaya neverKama CCM wanasubiri Mbowe a sarende na apìge magoti kwa Mama Samia wameula wa chuya...
Yaani hii kesi itakwenda hadi mwisho ...kitendo cha Mbowe kupiga magoti ni sawa na upinzani kuweka silaha chini na kujisalimisha kwa CCM..hili halipo..
Mapambano bado mazito ila Mbowe ana Mungu wake !!
Zitto hakutumwa na Mbowe wala CDM kuyasema hayo..ni kiherehere chake kuongea mambo ambayo hayamuhusu.
Mtaani kwetu unashutwaa !!
Na wewe Ni takataka! Anadanganya kwa vipi, wewe hutakufa? Tena wewe unamfuata Jiwe soon[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Lema anamdanganya mwenzake!
Wewe ni mwanamke wa mwiko?Mbowe mi mwanaume wa shoka..hawezi kubali ujinga
Una Maanisha Mbowe aje awe Rais wa nchi hii au?? Endelea kulala kwanzanaona mfano wa zambia kuja tanzania sasa
Lema anamdanganya mwenzake!
Sio miezi 6 tunataka mmfunge au kumnyonga si ni gaidiHahahahaha mwenzako analala kwenye giza totoroooo afu useme dk 79 anaongoza 4? Nyie jifanyeni jeuri mtu anaozea ndani miezi sita sasa. Mara oooh tunaandamana, mara ooh maandamano yasiyo na kikomo, haya sasa tunawasubiri barabarani tuwavunje miguu kenge nyie.
Una Maanisha Mbowe aje awe Rais wa nchi hii au?? Endelea kulala kwanza
Watandika kitanda wa mbowe hamjielewi. Ungekuwa mbowe Wala usingeleta ujinga huu hapa.Kuliko Mbowe aachiwe kwa msamaha fake, bora aendelee kukaa gerezani mpaka siku ya hukumu yake, hakuna maana asamehewe ili aje kuishi kwa kujipendekeza kwa mtawala kama wengine wanavyofanya.
Hiyo katiba anadai kwa nani awe alimkabodhi naniMungu mwema Sana nilisema katika changia post hii, ila leo SSH kayarudia , kwamba
Mbowe afuate sheria, na awe na eshima juu, ebo
Heshima halazimishwi, japo mzee wa watu ni mstarabu Sana , pamoja na kuwa na pesa, yupo ndani ila huko nje pesa inaingia Kama kawa Yani
Eti afuate sheria ,ni sheria ipi kavunja ,kudai katiba mpya ? Na je Kati ya Mbowe na Serikali nani hafuati SHERIA ?
Serikali mmelikoroga mtalinywa, tarehe kabla ya mwaka mpya CCM na Serikali yenu nakuja kutoa yale Mungu aniambia na amenipa kibali tiyari ,nitayatema hapa jf bila kinyongo ,na mtatakiwa jitafakari Kama mwaziba masikio au la
Na hata mkiziba haitasaidia maana maana ni sauti ya Mungu TOKA alipo ,na hupenya hata KWa wapagani
Ondoeni mawakili basi ☺️Hope mko poa wakuu, hakuna kitu kinachoiumiza serikali vichwa kama kesi ya Mbowe, kubali kataa serikali wanashindwa hii kesi waiteme vipi.
Nilisema toka awali kuwa maamuzi ya hii kesi yatakuwa faida kwa Mbowe, iwe kuhukumiwa maisha, kunyongwa au kushinda kesi, leo hio mawakili wa serikali wanaingia mahakamani wamenuna hawana raha, Shahidi anamezeshwa nondo na kuja na majibu kizimbani what a shame[emoji1].
Sasa juzi Lema kasema una watu waliitwa na kiongozi mkuu wa nchi, kiongozi huyo anasema hakuwa na shida na Mbowe, Ila Mbowe alimdharau sijui nini, lengo ni ili Mbowe akubali ajishushe ili wayamalize, according to Lema nikuwa Mbowe amesema yupo tiyari kufia Magereza lakini kamwe hatokuja kuipigia magoti Serikali.
CCM mlilianzisha sasa mlimalize Mbowe hatokuja kuwapigia magoti kamwe, nyie leteni mashahidi zaidi kama Kaaya, mama muuza Mbege halafu mmfunge.
Update
Narudia kusema Mbowe yupo tiyari kufia Magereza lakini sio kumpigia magoti Samia, wamfunge maisha au wamnyonge maana ndo hukumu za ugaidi.
Kweli mbowe jeuri, kaacha mke wake Dr Lillian kaenda kugombea Joyce mukya na aeshi Hadi kamzalisha watoto2Mbowe ni jeuri ww usifikiri ana roho ya kike kama ya zitto zuberi kabwe
Mbowe hajaidindia serikali, hao ni chawa wake walio nyumbani kwao wanalala kwa waume wa dada zao ndo wanashoboka humu. mbowe analia huko gerezani anatamani hata Leo atoke.Mbowe ni nan mpaka aidindie serikali ,yaan mbowe ndio aishinde serikali kudadekiiiii
Huyo mbowe akijifanya jeuri atajuta