Mbowe yupo tayari kufia Magereza lakini hatoipigia magoti Serikali


Mhe. Mbowe shikilia hapo hapo
 
Yaani watu wanataka kusujudiwa hata wakivunja sheria na haki za wenzao. What a shame.
 
Mbowe hajaidindia serikali, hao ni chawa wake walio nyumbani kwao wanalala kwa waume wa dada zao ndo wanashoboka humu. mbowe analia huko gerezani anatamani hata Leo atoke.
Sawa msemaji unayelala na mbowe huko segerea tumekusikia.
 
Wewe ma.tako unawashwa na nini? Umeambiwa Mbowe ahitaji huo msamaha fake wa huyo bibi yenu, kwanini unalazimisha?
 
Lissu na lema waliwahi kukimbia wakamwacha mbowe. Nao wanaume wa shoka?
 
Wewe ma.tako unawashwa na nini? Umeambiwa Mbowe ahitaji huo msamaha fake wa huyo bibi yenu, kwanini unalazimisha?
Basi aondoa mawakili, mashahidi na mahakamani akatae kwenda aone. Vinginevyo ww akili yako haiko sawia.
 
Unamsemea Mbowe kwani wewe ni Mukiya au mama Dudley.
 
Wanaosema mwanamke huwa na huruma sana sijui wanatumia vigezo gani?

Sawa wanaweza wakawa na huruma lkn Visasi vyao ni vikubwa kuliko hiyo huruma yenyewe...
Mfano wenyewe ndio huu wa SSH
 
Huyo tutamnyoosha mpaka apate adabu ,kama ni jeuri awapelekee huko huko chadema na familia yake ....sio kwenye serikali yetu tukufu ya mama samia ...


Nasema Tena ataumia huyo mbowe ..

Ana Nini mpaka ashindane na serikali


Pumbavu
na wewe wacha kiherehere chako mbona mpaka sasa mmeshindwa kuonehsa ushaidi wa wazi ya hayo mnamsingizia badala yake mnafoji nyaraka, mashahidi wa uongo, kila mmoja analake kwa kutumia nguvu kubwa isiyo na faida kwa kuaminisha watu.

Mmelikoroga sasa linyweni.
 
Kongamano la Mwanza la katiba mpya lilikuwa na watu wangapi? Na, kati ya watu hao ni wangapi wamekamatwa?
 
We boya viongozi wa kiafrika unawajua? We boya magereza unaijua! Jama yenu tapigwa mvua 30 na tukamsahhau haki kwa Mungu,duni mapito!
 
Basi aondoa mawakili, mashahidi na mahakamani akatae kwenda aone. Vinginevyo ww akili yako haiko sawia.
Wewe mlamba MASABURI huko lumumba, mtu yoyote akiwa Mahakamani kujitetea ni haki yake Kikatiba.
 
Wewe sio mwanfamilia wake, usiongee kwaniaba ya watoto na familia yake kwasababu haufahamu namna wanavyomhitaji kiongozi wao wa familia arudi nyumbani.
We unajua mie Nani funga domo koroboto
 
Mbowe hajaidindia serikali, hao ni chawa wake walio nyumbani kwao wanalala kwa waume wa dada zao ndo wanashoboka humu. mbowe analia huko gerezani anatamani hata Leo atoke.
Kiloboto bana
 
We boya viongozi wa kiafrika unawajua? We boya magereza unaijua! Jama yenu tapigwa mvua 30 na tukamsahhau haki kwa Mungu,duni mapito!
Si apigwe kwani kipi hajafanyiwa watu wamemiminiwa risasi 32 na bado hawajikombi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…