Mbuge Flatei Massay apiga sarakasi Bungeni kuonesha kulalamika kuhusu ahadi anazopewa kila mara bila kutekelezwa, afanya marejeo ya sauti za mawaziri

Mbuge Flatei Massay apiga sarakasi Bungeni kuonesha kulalamika kuhusu ahadi anazopewa kila mara bila kutekelezwa, afanya marejeo ya sauti za mawaziri

Mbuge wa Mbulu ameoneshwa kukerwa hadi kuamua kupiga sarakasi bungeni bila kujali uwepo wa spika

Ni sawa mmbuge kupiga sarakasi au mweleka kuonesha kukerwa na ahadi zizizo tekelezeka?

===

Kuruka sarakasi kwa mbunge Flatei ni jambo analotamani kulifanya mara nyingi, Mei 17, 2021 pia alipokuwa akilalamikia matatizo ya jimboni kwake aliomba kuruka sarakasi ili kuonesha kuwa ametumwa na wananchi wake kuwasemea.

Kabla ya kuruka sarakasi, Mbunge huyo wa Mbulu alifanya marejeo kwenye kishkwambi chake ya sauti zilizorekodiwa za waziri wa ujenzi na naibu wake wakitoa ahadi kwenye vikao vya Bunge vilivyopita za kukamilisha ujenzi wa barabara Mbulu jambo ambalo halijatimizwa hadi sasa.

Gang of thieves
 
Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay, ameruka sarakasi ndani Bunge wakati akichangia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2022/23 jijini leo Mei 23,2022 kuonesha hisia zake ya kutokuwa na barabara ya lami katika jimbo lake
Credit @MwananchiNews https://t.co/FkJ4GfWqJf
20220523_141416.jpg
 
Mbuge wa Mbulu ameoneshwa kukerwa hadi kuamua kupiga sarakasi bungeni bila kujali uwepo wa spika...

bunge la matumbili tumbili tu,kuanzia andunje ndukae sasa cheusi mangala na covid19....ni dhulma tu
 
Haki CHADEMA walivyojaza mijobless na mijitu mivivu siku wakishika nchi hii sipati picha.
 
Wabunge
Mbuge wa Mbulu ameoneshwa kukerwa hadi kuamua kupiga sarakasi bungeni bila kujali uwepo wa spika

Ni sawa mmbuge kupiga sarakasi au mweleka kuonesha kukerwa na ahadi zizizo tekelezeka?

===

Kuruka sarakasi kwa mbunge Flatei ni jambo analotamani kulifanya mara nyingi, Mei 17, 2021 pia alipokuwa akilalamikia matatizo ya jimboni kwake aliomba kuruka sarakasi ili kuonesha kuwa ametumwa na wananchi wake kuwasemea.

Kabla ya kuruka sarakasi, Mbunge huyo wa Mbulu alifanya marejeo kwenye kishkwambi chake ya sauti zilizorekodiwa za waziri wa ujenzi na naibu wake wakitoa ahadi kwenye vikao vya Bunge vilivyopita za kukamilisha ujenzi wa barabara Mbulu jambo ambalo halijatimizwa hadi sasa.

Pia soma:Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay almanusura kupiga sarakasi Bungeni ili ajengewe barabara jimboni


Wabunge zero na mawaziri zero. Unaharibu uchaguzi ili ujaze watu Kama Hawa. Nadhani wananchi wamepata somo kubwa Sana.
 
Bange au marijuana inahusika
huyu alitaka kuonyesha tu uwezo wake wa kuruka sarakasi hana lolote ,ana kundi lake la sarakasi walikuwa wanapata ufadili kwenda nchi za scandanavia kufanya maonyesho akawa anawatapeli wenzake.

Tulikuwa tunaenda kupiga vyuma hapo unawakuta wote wamesizi bangi.

Kashinda ubunge kutokana na ubovu wa mbunge aliyetangulia.
 
Haki CHADEMA walivyojaza mijobless na mijitu mivivu siku wakishika nchi hii sipati picha.

Ndugu una chuki Sana. Muombe Mungu akusaidie, kila ubaya unajaribu kuingiza CHADEMA. Unajifanya humuoni mhusika. Usiwe na Roho mbaya haisaidii.

Hapo Kenya Vyama zaidi ya vinne tofauti vimeshika madaraka na wametuacha mbali kiuchumi, lakini wewe unaona Ni dhambi chadema kuchukua madaraka. Acha ubinafsi.
 
Back
Top Bottom