Mbunge ataka Jeshi liachane na nyimbo ambazo zikisikilizwa, mawazo ya vijana yanaonekana yapo kwenye ngono

Siku ya kwanza alisemaje Mamaaa naumia! Siku ya pili akasemaje mdogo mdogo inaingia! Siku ya3 akasemaje Liiini tutarudiaaa Nasikia raha utamu!×2 jamani raha UTAMUU!
 
Lile tizi bila morali huchomoki. Ila nyimbo zingine hapana. Juzi nimekutana usiku saa saba na polosi mafunzoni nyimbo zao zilikuwa

Nina nyege nina nyege.....wanaitikia We tomba tu.


Nataka kunya ila naogopa....we kunya tu.
Hapo full mzuka,unakutana na songi ukitaka kuto...m..ba tom...ba we to..mb..a mpaka asubuhi [emoji23][emoji23].
 
Jeshi kazi ngum ,bila molali inakuaje, ? Kama wenyewe hawakuwai liona ni shida tuwaache wao, wewe Kama Mbunge njoo na hoja zako ,simamia serikali, tafuta katiba mpya
 
Mkuu huyo Rais wa Ukurein n mjeshi jua hivo ,pia baba na babu yake alikuaga general wa jeshi la USSR kapigana vita ya pili ya Dunia.Ni kama familia yao ni wajeshi nje ya uchekeshaji .
 
mnataka waimbe. Mbuga za wanyama Tanzania ya kwanza ni Serengeti ngorongoro manyara na mikumi Tanzania oyee. Hizo zilipewa mzuka ziro
 
Ni watuvwachafu mno kiasi hata unashindwa kuelewa kama wana imani na watoto hawa jamaa
 
mnataka waimbe. Mbuga za wanyama Tanzania ya kwanza ni Serengeti ngorongoro manyara na mikumi Tanzania oyee. Hizo zilipewa mzuka ziro
Mimi huwa nikipita ktk ofisi za Tanesco Mara nyingi huwa nawaona wafanyakazi tena watu wazima wakiwa wananyanyua zile nguzo kupakia ktk gari utasikia wanaimba oyaa Kuuma Kuuma, wengine wanajibu kumaaa, Kuuma kubwa, kumaaa.
Yaani watu wametoka kuona maiti huko Kongo na kusikia milio ya siraha za kutikisa ngoma za maskio unataka wakuimbie utopolo wa hapo kwa betina?
 
kweli nyimbo za matusi si njema.
 
Watu wanatafuta molali.

Anafikiri yeye kule ni nyoronyoro utaimbaje uzalendo wakati unakunwa na mateso morali itoke wapi. Uzalendo na ukakamavu ni aftermath ni zao la mfunzo. Itkua halijui jeshi hajapita huyo.
 
Reactions: Qwy
Napingana na huyu kiumbe. Hajui ngalambe wanazopitia kuruta. Kuruta anaye buruta katika na kuchanganywa kumjengea utii wa kupokea amri ambazo nyingine kama binadamu alidhani haziwezekani lakini kwa jeshi zinawezekana. Mtu kama huyu anapaswa kupata tulizo la moyo na akili si jingine bali kujiona naye ni binadamu mwenye matamanio. Njia ya kuyajua haya ni huyu Mbunge kuingizwa katika moja operations.😂😂
 
Reactions: Qwy
Tulimuimba "Iddi Amini anainama, anainuka, anaona haya huyoooo" enzi zileee kule JKT kwa furaha na mbwembwe. Capt alitusikia akasimamisha kikosi yaliyotokea baada ya hapo kama hujaenda jeshi huwezi nielewa.
 
Wabunge kabla hawajaapa wapelekwe JKT wakajifunze uzalendo wataachana na hizi story zao
 
Reactions: Qwy
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…