😅😅😅wakikutana na vibinti porini mmoja wao ataimba "mbona kama nina hamu ya kubaka hivi" wengine wataitikia kwa "we baka tu uende 'jera'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅wakikutana na vibinti porini mmoja wao ataimba "mbona kama nina hamu ya kubaka hivi" wengine wataitikia kwa "we baka tu uende 'jera'
Yanayokatazwa mitaani kule yanaruhusiwa...jeshini ni sehemu ya ajabu sana. ni sehemu mtu akienda anatakiwa kufanyiwa service ya ubongo wake, watakuvuruga hadi uwe vile wao wanataka. kuna watu hawajawahi kusikia mtu mzima akitukana tusi kubwa, kule utalisikia. kuna wanawake hawajawahi kuchuchumaa hadi harage zionekane, ila kuna wakati anaweze kujikuta sehemu zake za siri hazina umuhimu saana kufichaficha. nilikuwa namwangalia rais wa ukraine jana, nikamwonea huruma, kwa kazi za jeshi, jamaa alikuwa mchekeshaji tu, akili yake haina stress, leo hii, ameona maiti za kila namna, ameona ukatili wa kila namna, amepata stress za kila namna, akirudi mtaani yule hawezi kuwa kama yule wa awali. ndo mambo ya jeshi hayo. ila tunawashukuru, wanatulindia nchi (though Mungu ndio mlinzi namba moja kwetu).
Wabunge kabla hawajaapa wapelekwe JKT wakajifunze uzalendo wataachana na hizi story zao
Bunge linaruhusuiwa kujadili raslimali za jeshi?