Mbunge ataka Jeshi liachane na nyimbo ambazo zikisikilizwa, mawazo ya vijana yanaonekana yapo kwenye ngono

Yanayokatazwa mitaani kule yanaruhusiwa...
 
Reactions: Qwy
Watanzania wengi hamuelewei uzalende ni nini. Kuna watu wengi wazalendo ambao hawajapitia JKT kuliko waliopitia huko.
Wabunge kabla hawajaapa wapelekwe JKT wakajifunze uzalendo wataachana na hizi story zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…