Mbunge awachana bungeni wanaodai hajaolewa

WABUNGE WA NCHI HII BADALA YA KUJADILI SHIDA NA MATATIZO YA WANANCHI KWA UJUMLA WANAJADILI NANI KAOA NANI KAOLEWA NI UJINGA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Madame Jescsa habari yako ya ndoa ndio mchango wako wa muswada wa tume ya uchaguzi?
Watu wa Iringa huyu ndio mbadala wa Msigwa kwenu eee au Ilikuwa figisu ya Uchwara?
 
Sasa anakasirika nini kuambiwa hajaolewa, kwani ni tusi?...Ukiona hivyo hajaolewa kweli ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ
 
Na ndiyo maana alikufa kiboya sana
 
Simkubali Mama Abdul , ila kwenye huu upuuzi mtamuonea kabisa engineers wa ule upuuzi wa October 28 , 2020 ni Jiwe , wakurugenzi na vyombo vya ulinzi na usalama vyote na mitandao ya simu.
Huyo mama alikuwa mgombeaji mwenza wa jiwe, na hata baada ya jiwe kufa huyo mama alichukua madaraka.

Wewe kwa akili yako umekaza fuvu kulaumu mfu ukimkenulia meno mvurugaji aliye hai na mwenye uwezo kamili wa kubatilisha yaliyovurugwa na mtangulizi wake upo sawa kweli kichwani?

Narudia tena kusema hilo bunge ni la ccm na sio Magufuli, lipo kwa maslahi ya wezi na mafisadi na sio kwa maslahi ya wananchi.

Ni bunge pendwa la mama Abdul lipo kwa maslahi ya wezi na mafisadi.

Lingekuwa ni bunge la Magufuli lingekuwa limekufa mara tu baada ya Magufuli kufa.
 
Narudia tena mchafuzi mkuu wa 2020 ni dikteta uchwara na timu yake ya kina Bashiru na Chakubanga.

Mama Abdul ni empty suit hilo halipingiki amerithi serikali na bunge kashindwa kulibadili kutokana na ubovu wa katiba yetu na ushawishi wa Msoga .

Mama Abdul tumhukumu kwa kurejesha timu ya Msoga, kufukuza wamaasai Ngorongoro na hata kuuza bandari kwa DP World ,kuzurura hovyo hovyo na kuruhusu watu wale kwa urefu wa kamba zao

Kwenye hili bunge la kijani mtamuonea tu.

Yes kuhusu kulipenda bunge hili la kijani mama Abdul analipenda sababu halimpi challenge yoyote limejaa machawa wanaomsifia ila tungekua na katiba imara ilitakiwa siku 90 zipite nchi irudi kwenye uchaguzi mkuu.
 
Kasemwa na nani!
 
Hawa sio wabunge bali ni kundi la vibaka waliookotwa mitaani na mwendazake
 
chini ya usimamizi wa Lazaro Mambosasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ